Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,503
- 25,116
Hey guys..!
Huwa napenda kuja hapa na uchiinga' wa hapa na pale, ila naombeni Leo niwe serious kidogo, hii ni issue ya kweli kabisa ya maisha yangu..!!
Sijui kwanini nataka kushare kama ni ushauri nitaupokea, ila kama kuna la kujifunza mtu aweza lichukua pia likamsaidia..
Mimi ni kati ya watu wachache waliobahatika kulelewa na 'baba mlezi' kwa ule upendo ambao lije jua, ije mvua I am 100% sure siwezi upata popote pale, I hate to call it Him baba mlezi, ila huo ndiyo ukhalisia..!!
Na bahati nzuri nilipewa bahati ya kujua ukweli nikiwa mdogo, Baba hakupenda hili jambo lakini kama ningekuja kujua sasa nadhani ningedata kabisa kujua Huyu Mwanaume anayenipenda kuliko chochote kuwa He is not My Real Father...!
Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa, nilikuwa natazama photo album ya Mama ya zamani, Nika point picha mojawapo ya mkaka ambaye alikuwa ananifanania sana sana, nikamuambia 'Mama, bila shaka huyu ndiye Fulani' (hapa nilimtaja baba mzazi kwa jina lake)..
Mama alicheka akauliza umejuaje.?? Nikamuambia nimeona tu tunavyofanana, akaniambia ni kweli ni yeye..! Hilo likaishia hapo na ni sura ya ujanani kabisa, hivyo nikabaki na wazo tu kuwa Me and that man we real look alike, maisha yakaendelea hivyo..!!
Baba mlezi ndiye Baba ambaye nimekua nikijua huyu ndiye dunia yangu, He is so proud ov Me na hivi tuko na lighting color wote, hivyo nikitembea naye natambulishwa almost everywhere like she is my first daughter, na watu wakiona hiyo rangi angavu wanajua kabisa ndiyo ni kweli na husema kabisa mmefanana hasa..!
Katika wanaume I can admit wameni spoil ni this Man, na ukubwa wangu huu imagine that man bado ananiita 'my happiness' 'totoo', 'my everything'..! ana watoto wengine wa kike kwa kiume lakini the whole family inajua kipenzi cha Baba ni nani..!
Katika watu naogopa kuumiza maishani mwangu ni huyu mwanaume, Imagine, alinambia 'binti yangu, usije kuniaibisha', hayo maneno huwa natembea nayo chochote nachofanya nawaza nisije m-dissapoint yule mwanaume, japo ni muda mrefu ila huwa yanaishi moyoni mwangu daima..!!
Baada ya yote hayo, nikiwa binti mkubwa kabisa mwaka Jana mwishoni, napokea simu ya mtu anajitambulisha kuwa Mimi ni mwanae, kwanza I was shocked sababu najua baba yangu nilishapiga naye story mchana, mpaka aliponitajia jina ndiyo nikaelewa..!!
Nikajikuta nalia machozi, sijui ni kwanini nililia vile, anyways, nilizungumza naye kwa nidhamu na utulivu mkubwa nikawa namsikiliza, akaniambia anaomba sana samahani kwa kuniacha miaka yote hiyo, na alikuwa akinitafuta sana bila mafanikio ila hivi sasa ndiyo kafanikiwa kunipata..!
Anaomba sana samahani, kwa kuniacha, kutokuwa pale kwa ajili yangu na pia kwa kumuumiza Mama, na kinachomuuma hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko alikokwenda Mimi ndiyo bintiye wa pekee, kapata watoto wa kiume woote..!!
Huruma ni kweli alikuwa anatia me nikamuambia Mimi sina tatizi lolote na wewe, ila kwa jinsi ulivyomuumiza yule Mama sijui ni kitu gani utafanya mpaka tu akuelewe na kukusamehe maneno uliyomtamkia na jinsi ulivyomuacha Mimi nikiwa tumboni na nikuambie tu ukweli hajawahi kusahau..!
Akawa anataka tuonane japo anione tu, nikamuambia ongea kwanza na Mama, ndiyo naweza nikakuona japo kwa sehemu tulizokuwepo tulikuwa jirani kiasi ila sikuweza tu kwenda kumuona bila ruhusa, na pia sikutaka kabisa kumshirikisha hili Baba nilihisi tu kama atajiskia vibaya, sijui ni kwanini nilifikiri hivyo, kama nilivyosema mwanzo sikutaka nimfanye ajiskie vibaya kwa ajili yangu kwa namna yoyote ile,
Mpaka Leo sikuwahi muambia Baba yangu chochote na yeye hakuwahi niuliza chochote japo Mama alishamuambia kuwa baba mzazi kanitafuta, Nadhani anasubiri kama nitamuambia chochote ila Mimi siwezi muambia kitu kiukweli..!!
Japo kiukweli niliwahi enda kumuona baba mzazi, I was just curious kumuona na ni kitu nilikuwa natamani sana, I can admit he is very charming person kama Mimi anapenda kufurahi mno pia.! Ila nimekaa naye na kuongea naye it's like talking to a stranger, ana maisha yake tu anajiweza lakini Ile furaha hupata nikiwa na Baba yangu mlezi it was never there.! tulifanikiwa kuongea mengi na kupiga story na akawa anajutia sana lakini on my side nilimuambia ni sawa tu nilishamsamehe..!
Tatizo linaanzia wapi, sahii analalamika anataka ule ukaribu na bond ya Baba na Mwanae, anahisi namtenga, anahisi sijamsamehe, lakini sina tatizo naye ni kuwa almost every day the only Man that came into my mind ni Baba Mlezi, the only Man niwe na siku nzuri ama mbaya lazima nimuambie na ni lazima anitafute ama nimtafute, na ukubwa huu lakini ni kawaida kuona 'Imethibitishwa' zake kwa simu yangu, huwa ananitreat bado kama vile Mimi ni kabinti kadogo, mpaka niliwahi muambia nikija olewa nitahakikisha naolewa na mwanaume anayenipenda at least nusu ya upendo wako, akacheka akaniambia tu Muombe Mungu sana na ulivyo tu huyo mwanaume kazi atakuwa nayo, nikamuambia wewe ndiyo umeniharibu lakini, akatabasamu akajibu, ipo siku nitakuja kuelewa..!
Kabla nisahau, Mama hataki ushirika naye kabisa anasema Baba anayemtambua yeye ni Baba Mlezi tu, japo yeye pia alimuambia ashamsamehe hivyo asijali aendelee na maisha yake kwa amani, Naomba nikazie hapa My Ma hajawahi nizuia Mimi kuwasiliana wala kumuona Baba sababu ni yeye ndiye alipambana nitumie jina la Baba mzazi alisema hataki nipoteze haki ya kumjua baba mzazi pia, na alikuwa anaimani sana kuwa ipo siku baba yako mzazi atarudi tu na utamuona, na kweli yakatimia..!!
tukirudi huku kwa baba mzazi, analalamika mpaka namuonea huruma lakini sipati ile feeling ya ubaba juu yake what am I supposed to do.? Na huwa ananitumia pesa za hapa na pale ananiambia vocha namuambia tu ahsante, hata ile kuita 'Baba' naona ugumu, me huwa naishi zangu kama vile he doesn't exist, nikikumbuka ni mara moja namjulia hali mpaka nikumbuke tena siyo Leo, most of the time yeye ndiye hunitafuta na malalamiko juu anahisi nafanya kusudi kumkomoa lakini hapana, moyo wangu unaishi huku kwingine toka utotoni..! anataka nikawajue ndugu zake lakini I don't feel like I do belong there, kawapa ndugu zake namba wananitafuta lakini siwafurahii all the same pia, na kumsamehe nishamsamehe lakini the bond ain't there, na malalamiko yake yananiumiza lakini nimeshindwa yafanyia kazi..!!
Nashindwa hata nimfanye nini maskiini..!!
Huwa napenda kuja hapa na uchiinga' wa hapa na pale, ila naombeni Leo niwe serious kidogo, hii ni issue ya kweli kabisa ya maisha yangu..!!
Sijui kwanini nataka kushare kama ni ushauri nitaupokea, ila kama kuna la kujifunza mtu aweza lichukua pia likamsaidia..
Mimi ni kati ya watu wachache waliobahatika kulelewa na 'baba mlezi' kwa ule upendo ambao lije jua, ije mvua I am 100% sure siwezi upata popote pale, I hate to call it Him baba mlezi, ila huo ndiyo ukhalisia..!!
Na bahati nzuri nilipewa bahati ya kujua ukweli nikiwa mdogo, Baba hakupenda hili jambo lakini kama ningekuja kujua sasa nadhani ningedata kabisa kujua Huyu Mwanaume anayenipenda kuliko chochote kuwa He is not My Real Father...!
Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa, nilikuwa natazama photo album ya Mama ya zamani, Nika point picha mojawapo ya mkaka ambaye alikuwa ananifanania sana sana, nikamuambia 'Mama, bila shaka huyu ndiye Fulani' (hapa nilimtaja baba mzazi kwa jina lake)..
Mama alicheka akauliza umejuaje.?? Nikamuambia nimeona tu tunavyofanana, akaniambia ni kweli ni yeye..! Hilo likaishia hapo na ni sura ya ujanani kabisa, hivyo nikabaki na wazo tu kuwa Me and that man we real look alike, maisha yakaendelea hivyo..!!
Baba mlezi ndiye Baba ambaye nimekua nikijua huyu ndiye dunia yangu, He is so proud ov Me na hivi tuko na lighting color wote, hivyo nikitembea naye natambulishwa almost everywhere like she is my first daughter, na watu wakiona hiyo rangi angavu wanajua kabisa ndiyo ni kweli na husema kabisa mmefanana hasa..!
Katika wanaume I can admit wameni spoil ni this Man, na ukubwa wangu huu imagine that man bado ananiita 'my happiness' 'totoo', 'my everything'..! ana watoto wengine wa kike kwa kiume lakini the whole family inajua kipenzi cha Baba ni nani..!
Katika watu naogopa kuumiza maishani mwangu ni huyu mwanaume, Imagine, alinambia 'binti yangu, usije kuniaibisha', hayo maneno huwa natembea nayo chochote nachofanya nawaza nisije m-dissapoint yule mwanaume, japo ni muda mrefu ila huwa yanaishi moyoni mwangu daima..!!
Baada ya yote hayo, nikiwa binti mkubwa kabisa mwaka Jana mwishoni, napokea simu ya mtu anajitambulisha kuwa Mimi ni mwanae, kwanza I was shocked sababu najua baba yangu nilishapiga naye story mchana, mpaka aliponitajia jina ndiyo nikaelewa..!!
Nikajikuta nalia machozi, sijui ni kwanini nililia vile, anyways, nilizungumza naye kwa nidhamu na utulivu mkubwa nikawa namsikiliza, akaniambia anaomba sana samahani kwa kuniacha miaka yote hiyo, na alikuwa akinitafuta sana bila mafanikio ila hivi sasa ndiyo kafanikiwa kunipata..!
Anaomba sana samahani, kwa kuniacha, kutokuwa pale kwa ajili yangu na pia kwa kumuumiza Mama, na kinachomuuma hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko alikokwenda Mimi ndiyo bintiye wa pekee, kapata watoto wa kiume woote..!!
Huruma ni kweli alikuwa anatia me nikamuambia Mimi sina tatizi lolote na wewe, ila kwa jinsi ulivyomuumiza yule Mama sijui ni kitu gani utafanya mpaka tu akuelewe na kukusamehe maneno uliyomtamkia na jinsi ulivyomuacha Mimi nikiwa tumboni na nikuambie tu ukweli hajawahi kusahau..!
Akawa anataka tuonane japo anione tu, nikamuambia ongea kwanza na Mama, ndiyo naweza nikakuona japo kwa sehemu tulizokuwepo tulikuwa jirani kiasi ila sikuweza tu kwenda kumuona bila ruhusa, na pia sikutaka kabisa kumshirikisha hili Baba nilihisi tu kama atajiskia vibaya, sijui ni kwanini nilifikiri hivyo, kama nilivyosema mwanzo sikutaka nimfanye ajiskie vibaya kwa ajili yangu kwa namna yoyote ile,
Mpaka Leo sikuwahi muambia Baba yangu chochote na yeye hakuwahi niuliza chochote japo Mama alishamuambia kuwa baba mzazi kanitafuta, Nadhani anasubiri kama nitamuambia chochote ila Mimi siwezi muambia kitu kiukweli..!!
Japo kiukweli niliwahi enda kumuona baba mzazi, I was just curious kumuona na ni kitu nilikuwa natamani sana, I can admit he is very charming person kama Mimi anapenda kufurahi mno pia.! Ila nimekaa naye na kuongea naye it's like talking to a stranger, ana maisha yake tu anajiweza lakini Ile furaha hupata nikiwa na Baba yangu mlezi it was never there.! tulifanikiwa kuongea mengi na kupiga story na akawa anajutia sana lakini on my side nilimuambia ni sawa tu nilishamsamehe..!
Tatizo linaanzia wapi, sahii analalamika anataka ule ukaribu na bond ya Baba na Mwanae, anahisi namtenga, anahisi sijamsamehe, lakini sina tatizo naye ni kuwa almost every day the only Man that came into my mind ni Baba Mlezi, the only Man niwe na siku nzuri ama mbaya lazima nimuambie na ni lazima anitafute ama nimtafute, na ukubwa huu lakini ni kawaida kuona 'Imethibitishwa' zake kwa simu yangu, huwa ananitreat bado kama vile Mimi ni kabinti kadogo, mpaka niliwahi muambia nikija olewa nitahakikisha naolewa na mwanaume anayenipenda at least nusu ya upendo wako, akacheka akaniambia tu Muombe Mungu sana na ulivyo tu huyo mwanaume kazi atakuwa nayo, nikamuambia wewe ndiyo umeniharibu lakini, akatabasamu akajibu, ipo siku nitakuja kuelewa..!
Kabla nisahau, Mama hataki ushirika naye kabisa anasema Baba anayemtambua yeye ni Baba Mlezi tu, japo yeye pia alimuambia ashamsamehe hivyo asijali aendelee na maisha yake kwa amani, Naomba nikazie hapa My Ma hajawahi nizuia Mimi kuwasiliana wala kumuona Baba sababu ni yeye ndiye alipambana nitumie jina la Baba mzazi alisema hataki nipoteze haki ya kumjua baba mzazi pia, na alikuwa anaimani sana kuwa ipo siku baba yako mzazi atarudi tu na utamuona, na kweli yakatimia..!!
tukirudi huku kwa baba mzazi, analalamika mpaka namuonea huruma lakini sipati ile feeling ya ubaba juu yake what am I supposed to do.? Na huwa ananitumia pesa za hapa na pale ananiambia vocha namuambia tu ahsante, hata ile kuita 'Baba' naona ugumu, me huwa naishi zangu kama vile he doesn't exist, nikikumbuka ni mara moja namjulia hali mpaka nikumbuke tena siyo Leo, most of the time yeye ndiye hunitafuta na malalamiko juu anahisi nafanya kusudi kumkomoa lakini hapana, moyo wangu unaishi huku kwingine toka utotoni..! anataka nikawajue ndugu zake lakini I don't feel like I do belong there, kawapa ndugu zake namba wananitafuta lakini siwafurahii all the same pia, na kumsamehe nishamsamehe lakini the bond ain't there, na malalamiko yake yananiumiza lakini nimeshindwa yafanyia kazi..!!
Nashindwa hata nimfanye nini maskiini..!!