Hivi gaming board wameita watu kazini?

Hivi gaming board wameita watu kazini?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,460
Reaction score
4,166
Nina mrembo wangu amepiga oral anasikilizia majibu ya hao jamaa.
Alifanya nafasi ya license officer week mbili zilizopita.
Nauliza kama wameishaita kazini au bado?
 
Mwenyewe nazisikilizia hizo mkuu.
Sijasikia lolote mpaka sasa
 
Oya vipi, umesikia fununu yoyote huko?
Sijasikia lolote mkuu,wale jamaa mambo yao yana usiri mwingi.we fikiria hata matokeo ya ile written interview hawayakuyapublish,walipigia simu tu watu kimya kimya wale waliofaulu.
 
Sijasikia lolote mkuu,wale jamaa mambo yao yana usiri mwingi.we fikiria hata matokeo ya ile written interview hawayakuyapublish,walipigia simu tu watu kimya kimya wale waliofaulu.
Ok mkuu
 
Back
Top Bottom