Habari wakuu.
Nilikua nazunguka mtandaoni kutafuta gaming laptop mpya. Katika kutafuta nilikutana na gaming laptops brand ya Mechrevo.
Kilichonishangaza niliona kuwa zinaonekana kuwa bei nafuu zaidi kuliko laptops za brands nyingine zilizo na specifications sawa. Kuna mtu yeyote amesikia...
Habari wana-JF! Nipo na 5m ambayo nafikiria kuwekeza kwenye biashara. Nimepitia mawazo mengi ya biashara ila gaming lounge naona ni biashara nzuri kuanza kwa mtaji nilionao.
Faida ya eneo nilipo ni karibu na chuo, kama tunavyojua vyuoni wengi ni vijana ambao kwa % kubwa wanafuatilia mpira wa...
Wakubwa habari za mida tena, nahitaji ku jenga Gaming PC, kwa kutumia parts kutoka AliExpress. Mimi sina uzoefu na kazi hii na sijawai kufanya jambo hili nataka, kwanzia mwezi wa 12, nianze kuagiza parts moja moja kulingana na budget, kipato changu sio kikubwa kihivo.
Mchanganuo wangu ni kama...
Asus Rog STRIX Z390-F
Customized Gaming Desktop
Core i7 9th Generation
SSD 512GB+HDD 3TB
RGB RAM 16GB DDR4
CPU 3.20 GHz 8 Threads
RTX 2060 Super 8GB
Power Supply Modular 600W
Wi-fi Adapter
5 RGB FAN
Hii Mashine ni nzuri kwa kazi zote ngumu.👇🏾
Rendering ✅
Video Production ✅
Graphics Design✅...
Habari zenu, Nataka niongeze kipato nje ya mshahara wa ajira, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya ps,
gharama nilizopangilia, naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine
PS4 nne zenye games 2,500,000
tv nne 1,500,000
pad mtumba za ziada - 300,000
spea za...
Habari wana JF.
Nauza Gaming PC yangu Mashine pamoja na Monitor ya LG, keyboard na mouse. Unaweza itumia kwa shughuli mbali mbali za production kama Video Editing, Photo Editing, VFX, 3D Animation, Rendering, etc. Iko very powerful. Specifications hizi hapa chini.
Gaming Desktop Computer...
Wakuu
Nahitaji kununua gaming PC inayoweza kucheza euro truck simulator 2 bila kugandaganda yaani smooth tena kwa high graphic ni nini niangalie na kama unaweza kutoa dokezo la bei inaweza kua ngapi huko dukani condition yoyote iwe refurbished au used
Waziri Mkuu amemuonya mtumishi wa umma kuacha kucheza kamari kwa kuwa muda wote ataliwa tu. Atachukua mikopo benki na bado ataendelea kuliwa ambapo ataingiwa na msongo wa mawazo.
Amempata kazi mtumishi mwingine kumfuatilia mtumishi huyo
Indonesia imezizuia Yahoo, kampuni ya malipo ya Paypal na tovuti kadhaa za michezo ya mtandaoni kwa kushindwa kufuata sheria za leseni.
Sheria zilizotolewa mwishoni mwa Novemba 2020, zinazipa mamlaka nguvu kubwa ya kulazimisha mifumo kufichua data ya watumiaji fulani, na kuondoa maudhui...
interact with your PC.Video graphics: NVIDIA GeForce GTX 1050 (2 GB GDDR5 dedicated); Turn your laptop into a creative powerhouse for visually demanding apps.
NVIDIA Pascal and Game Ready technologies drive the latest games in their full glory.Display: 15.6-inch diagonal Full HD (1920x1080) IPS...
POVA Neo ni toleo la bei nafuu zaidi la Tecno POVA 2. Sifa kuu za simu hii ni kioo kubwa na betri. Akizungumzia muonekano ina kioo cha inchi 6.82 chenye pikseli 720 x 1640, na sehemu ya mbele ya ina kamera ya selfie yenye 8MP.
Kwa ndani, Tecno POVA Neo ina processor kubwa kabisa ya MediaTek...
Gaming pc DELL Inspiron 15
INTEL CORE I5-6200U
2.30GHZ Turbo UPT0 2.8GHZ c p u
6TH GENERATION
HDD 500GB
8GB-DDR4
speedGraphics AMD Radeon with 2Gb Dedicated
battery 3hrs *
15.0 inches screen
Windows 10 In Good condition
Good for Graphics/Gaming and Heavy duty workPRICE
850000 only
Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi,
na je hizi msi gaming laptop zina ubora gan maana zinanivutia kimuonekano.
bei 350k imepungua to 300k
location mwenge mpakani 0787202143
used Dell latitude e6430 nzuri for gaming and graphic
processor :intel Core i7-3520qm clock speed 2.6 GHz and 3.6 GHz with turbo boost
ram 8 gb
hard disk 500gb
2 graphic card
1.intel hd 4000;
2.NVIDIA nvs5200m (1gb dedicated)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.