Hivi Dr. Charles Kimei ndio mmiliki wa CRDB?

wengi saaaana hapa tz wanadhani crdb ni bank ya umma. Hii bank sio ya umma inamilikiwa na watu/makampuni mbali mbali kwa njia ya hisa. Ila utashangaaa wajinga wakianzisha mada zao za sijui nssf ina udini humo humo wana changanya na crdb utadhani ceo wake ninmteule wa rais wa jmt.

Eleweni crdb ni private bank.

Mmm we bwana crdb ilianzishwa na serikal Kama benk ya kuleta maendeleo vijiji Larkin nw days imetekwa na matajir
 
Mmm we bwana crdb ilianzishwa na serikal Kama benk ya kuleta maendeleo vijiji Larkin nw days imetekwa na matajir
Unachomaanisha ni sawa na TBL ilianzishwa na serikali ila imetekwa na matajiri. Idadi kubwa ya watanzania wamedumaa kiakili. CRDB ni bank binafsi inayomilikiwa kwa hisa hayo mengine ni historia isiyi na maana tena kwa wamiliki wa sasa
 
Mmm we bwana crdb ilianzishwa na serikal Kama benk ya kuleta maendeleo vijiji Larkin nw days imetekwa na matajir

Mkuu usiwe mvivu wa kujifunza.

Benki ya ushirika na mandeleo vijijini au CRDB iliundwa na serikali lakini ikafa kifo cha mende mwaka 1995 kutokana na ubadhilifu na ufisadi, hivyo ikawa inakula mtaji wake polepole hadi ilipokuwa hoi.

Mwaka 1996 ikaanzishwa CRDB mpya chini ya Dr Charles Kimei na ndiyo unayoiona leo hii imeenea kila kona nchini.
 
Mkuu usiwe mvivu wa kujifunza.

Benki ya ushirika na mandeleo vijijini au CRDB iliundwa na serikali lakini ikafa kifo cha mende mwaka 1995 kutokana na ubadhilifu na ufisadi, hivyo ikawa inakula mtaji wake polepole hadi ilipokuwa hoi.

Mwaka 1996 ikaanzishwa CRDB mpya chini ya Dr Charles Kimei na ndiyo unayoiona leo hii imeenea kila kona nchini.
Ivi tokea mwaka huo wa 1996 alivyoianzsha ni yeye mkurugenzi mtendaji mpaka Leo. Basi amepambana sana kuisimamisha
 
Hehehehehhe samahani lakini....
Kiukweli sio yake......
Ila kiukweli ni kama yake......
Kwanini nasema hivyo.......
Management ya crdb plc nitofauti sana na management ya nmb plc.....
Alafu tetesi nikuwa........ Kwaheri wasije nisaka bure.....
jinyamazie tu mwanawane......yule mzee acha tu
 
Mkuu usiwe mvivu wa kujifunza.

Benki ya ushirika na mandeleo vijijini au CRDB iliundwa na serikali lakini ikafa kifo cha mende mwaka 1995 kutokana na ubadhilifu na ufisadi, hivyo ikawa inakula mtaji wake polepole hadi ilipokuwa hoi.

Mwaka 1996 ikaanzishwa CRDB mpya chini ya Dr Charles Kimei na ndiyo unayoiona leo hii imeenea kila kona nchini.

na juzi tu Moody's wamei-rate B1.
 
Naona una hangover ya ujamaa. Kama yupo kidume hapa Tanzania mwambie achukue hiyo bank basi kama itawezekana.
kama serikali ndio mmiliki wa kwanza na ndio mwenye PREFERENCE SHARE.... anaweza kununua share zote za watu wadogo wadogo...au wakaweka policy ambazo zitakuwa ngumu kwa waendeshaji(management)...BUY BACK SHARES
Serikali ikiamua kuchukua inaweza sana, NOTHING IS IMPOSSIBLE....ITS EITHER kwa kununua shares kwa wingi au kuforce management yao kuanza kununua share zao wenyewe
 
kama serikali ndio mmiliki wa kwanza na ndio mwenye PREFERENCE SHARE.... anaweza kununua share zote za watu wadogo wadogo...au wakaweka policy ambazo zitakuwa ngumu kwa waendeshaji(management)...BUY BACK SHARES
Serikali ikiamua kuchukua inaweza sana, NOTHING IS IMPOSSIBLE....ITS EITHER kwa kununua shares kwa wingi au kuforce management yao kuanza kununua share zao wenyewe
Ndiyo maana nyie watu nasema akili zenu zimedumaa. Hivi unajua hii ni nchi ya kibebari kwa sasa? Au bado unaamini inafuata siasa za ujamaa na kujitegemea? CRDB ilishauzwa. Serikali haina tena umiliki wa bank hii. Kama inashindwa kuinunua nbc ambako ilikuwa na hisa itaweza crdb? Kama ni ujinga nyerere aliwaweza. Kawaachia wa kutosha
 
wengi saaaana hapa tz wanadhani crdb ni bank ya umma. Hii bank sio ya umma inamilikiwa na watu/makampuni mbali mbali kwa njia ya hisa. Ila utashangaaa wajinga wakianzisha mada zao za sijui nssf ina udini humo humo wana changanya na crdb utadhani ceo wake ninmteule wa rais wa jmt.

Eleweni crdb ni private bank.

Umeongea vyema,Ritz,assadsyria,Mohammed said mpoo
 
Acha ujinga usione watu kuwa wajinga ndio hawajuwi nini kinaendelea crdb plc jibu swali nasio ulete maneno yasio na mashiko wala maana.
Wewe ndo punguani,Crdb ni benki ya watu binafsi na DANIDA no shareholders,syo kama Nssf mlivotaka kuifanya answaar suna magufuli akawastukia
 
Ndiyo maana nyie watu nasema akili zenu zimedumaa. Hivi unajua hii ni nchi ya kibebari kwa sasa? Au bado unaamini inafuata siasa za ujamaa na kujitegemea? CRDB ilishauzwa. Serikali haina tena umiliki wa bank hii. Kama inashindwa kuinunua nbc ambako ilikuwa na hisa itaweza crdb? Kama ni ujinga nyerere aliwaweza. Kawaachia wa kutosha
Kama serikali ingekuwa bado inaitaka CRDB inaweza ikaichukua .....kuna takeover ambazo zinaweza kuwa forced na management isifanye kitu.....it depends na shares wanazomiliki ilikuwa restructured na ndio maana ipo ngumu lakini kumbuka no one owns more than 50%....so kuwaondoa watu wadogo wadogo ni easy sana sana
 
Crdb bank body of directors ni mangi tupu.
Haha haha haha haha haha haha Aya mambo ya ukabila ni ishu sana

Mkuu, labda ungetuwekea hiyo bodi tuichambue hapa.

Labda kama unasema Utawala lakini bodi ni watu kutoka sehemu mbalimbali na ndio maana hata Sumaye yumo kwenye bodi ya wakurugenzi.

Hata hivyo management ya CRDB wote wamesoma khasa na wana taaluma ya uendeshaji masuala ya benki na uhasibu na hilo litaondoa dhana yoyote ya kupendeleana.

Hakuna mwenye cheti cha magumashi au elimu ya hapa na pale.
 
Back
Top Bottom