HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
kimei ni CEO wachache waliopo Tanzania na ambao wamevuka malengo ,ana mikakati ,mbinu ,na tunasema ni msoma gap ,ameitoa crdb chini hadi sasa ipo juu ,natamani hata shirika letu la ndege lingekuwa na mtu wa aina hii mzalendo tungesonga mbele ,mwingine ni msechu wa NHC naye ni mfano mwingine wa kuigwa na wanavyuo darasani ,ni mifano mizuri kwa kufundishia jinsi ya kuipenda nchi ,kwanza ,utaifa ,mshahara badae .na wameweka historia sahihi kwa vizazi kwa kuonyesha mfano kuwa tunaweza kuvuka hapa tulipo mashirika mengi nafasi hizi hupewa raia wa kigeni