Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha upopompo.Habari wanajamvi?
Mi naomba mnijuze tu maana sijui hii benki inamilikiwa na.mtu binafsi au kikundi cha watu fulani... ujinga mzuri naomba kujua.
mkuu upoo mafyekeo hapaHuyo Ni muajiriwa wa CRDB akiwa kama CEO/MD ila nampongeza Sana kwani Ata wale wenzetu wa DANIDA wanamkubali Sana.
1993 tena, c nasikia imeanza 1996Ndio mtu aliyeleta mapinduzi makubwa kwenye hiyo bank...wayback 1993 hiyo bank ilikuwa inapumulia mashine halafu taratibu jamaa akainyanyua ikanyanyuka
Kabla ya 1996 ilikuwa iko chini ya Serikali1993 tena, c nasikia imeanza 1996
Hehehehehhe samahani lakini....Habari wanajamvi?
Mi naomba mnijuze tu maana sijui hii benki inamilikiwa na.mtu binafsi au kikundi cha watu fulani... ujinga mzuri naomba kujua.
Acha ujinga usione watu kuwa wajinga ndio hawajuwi nini kinaendelea crdb plc jibu swali nasio ulete maneno yasio na mashiko wala maana.wengi saaaana hapa tz wanadhani crdb ni bank ya umma. Hii bank sio ya umma inamilikiwa na watu/makampuni mbali mbali kwa njia ya hisa. Ila utashangaaa wajinga wakianzisha mada zao za sijui nssf ina udini humo humo wana changanya na crdb utadhani ceo wake ninmteule wa rais wa jmt.
Eleweni crdb ni private bank.
acha upopompo.