Hivi Dr. Charles Kimei ndio mmiliki wa CRDB?

wengi saaaana hapa tz wanadhani crdb ni bank ya umma. Hii bank sio ya umma inamilikiwa na watu/makampuni mbali mbali kwa njia ya hisa. Ila utashangaaa wajinga wakianzisha mada zao za sijui nssf ina udini humo humo wana changanya na crdb utadhani ceo wake ninmteule wa rais wa jmt.

Eleweni crdb ni private bank.
 
Habari wanajamvi?
Mi naomba mnijuze tu maana sijui hii benki inamilikiwa na.mtu binafsi au kikundi cha watu fulani... ujinga mzuri naomba kujua.
Hehehehehhe samahani lakini....
Kiukweli sio yake......
Ila kiukweli ni kama yake......
Kwanini nasema hivyo.......
Management ya crdb plc nitofauti sana na management ya nmb plc.....
Alafu tetesi nikuwa........ Kwaheri wasije nisaka bure.....
 
wengi saaaana hapa tz wanadhani crdb ni bank ya umma. Hii bank sio ya umma inamilikiwa na watu/makampuni mbali mbali kwa njia ya hisa. Ila utashangaaa wajinga wakianzisha mada zao za sijui nssf ina udini humo humo wana changanya na crdb utadhani ceo wake ninmteule wa rais wa jmt.

Eleweni crdb ni private bank.
Acha ujinga usione watu kuwa wajinga ndio hawajuwi nini kinaendelea crdb plc jibu swali nasio ulete maneno yasio na mashiko wala maana.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom