Umiliki wa Singida Fountain Gate upoje?

nkuwi

JF-Expert Member
Feb 11, 2013
4,771
5,315
Habari za muda huu wadau wa sport

Naomba kujua hili suala kwa undani zaidi, hii timu inamilikiwa na nani? swali hili linatokana na maelezo ya kocha wao Ernest

Kwanza hii timu mwanzoni ilikuwa inaitwa Singida Big Stars baadaye ikabadililshwwa/kuuzwa na kuitwa Singida Fountain Gate maana yake umiliki wa awali umehama.

Sasa nisichokielewa ni hiki mbona Mwigulu bado anatajwa kama boss na mmiliki?? kiaje?

Mambo ya kutaka mchezaji fulani apangwe na hoja nyingine, hapa tunaongelea umiliki, mbunge na waziri wa fedha anapata wapi pesa zote za kumiliki timu?

Au tozo ndio zinaendesha hii timu?

Kuna nyingine ile iliyocheza na utopolo jana nayo ina hoja kama hii.

Karibuni
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Habari za muda huu wadau wa sport

Naomba kujua hili swala kwa undani zaidi, hii timu inamilikiwq na nani?? swali hili linatokana na maelezo ya kocha wao Ernest,

kwanza hii timu mwanzoni ilikuwa inaitwa singida big stars baadaye ikavadililshwq/kuuzwa na kuitwa singida fountain gate maana yake umiliki wa awali umehama.

sasa nisichokielewa ni hiki mbona mwigulu bado anatajwa kama boss na mmiliki?? kiaje?

mambo ya kutaka mchezaji fulani apangwe na hoja nyingine, hapa tunaongelea umiliki, mbunge na waziri wa fedha anapata wapi pesa zote za kumiliki timu??

au tozo ndio zinaendesha hii timu??

kuna nyingine ile iliyocheza na utopolo jana nayo inahoja kama hii.

karibuni


What if wamuza shares tu na sio team na fountain wana majority share hence name change?
 
Wewe nkuwi si ni majina ya Singida hayo? Ungewacheki ma homeboy wako kisha uje utujize kiundani.

Back to point. Hii team ilianza kama DTB fc wakati ipo championship ikapanda na kuwa Singida Big stars. Umiliki wake hauko wazi sana kama ni Mwigulu ndio mmiliki.
 
Klabu inayoshiriki michuano ya CAF ni lazima iwe na timu ya soka ya wanawake. Ishu ilianzia hapo.

1695274756390.png
 
Waziri wa Furusi...

Fedha zetu ..Kodi zetu...!

Inauma Sana....

Hoja Kwamba anafanyabiashara, mtaji kapata Wapi?
 
Waziri wa Furusi...

Fedha zetu ..Kodi zetu...!

Inauma Sana....

Hoja Kwamba anafanyabiashara, mtaji kapata Wapi?
Bro acha uzwazwa Mwigulu amekuwa kwenye mpira zaidi ya miaka 15 ulopita.pia ana biashara zake kwa hiyo achana nae haikuhusu
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ucdhan kumiliki timu ni jambo jepec kihivyo,ni biashara gani hyo anayofanya???
 
Ucdhan kumiliki timu ni jambo jepec kihivyo,ni biashara gani hyo anayofanya???
Sipo apa kuelezea biashara za watu, wapo watumishi wengi serikalini wanafanya biashara na zinawaingizia fedha nyigi.
Wewe ambaye huna fedha wala interest na soka huwezi kuelewa yeye anacho kitaka

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sipo apa kuelezea biashara za watu, wapo watumishi wengi serikalini wanafanya biashara na zinawaingizia fedha nyigi.
Wewe ambaye huna fedha wala interest na soka huwezi kuelewa yeye anacho kitaka

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hapo lazima kuwe na ukakasi na kwann kila akiulizwa kuwa yy mmiliki kwann anakanusha???
Au kumilki timu ni kosa????
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kapambana wapi mwizi tu yule
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Alipovuliwa uwaziri Mara ya kwanza na JPM timu hiyo ilishuka na wadhamini wore wakaondoka. Unataka kutuambia hela hizo anazipata akiwa waziri tu.
 
Habari za muda huu wadau wa sport

Naomba kujua hili suala kwa undani zaidi, hii timu inamilikiwa na nani? swali hili linatokana na maelezo ya kocha wao Ernest

Kwanza hii timu mwanzoni ilikuwa inaitwa Singida Big Stars baadaye ikabadililshwwa/kuuzwa na kuitwa Singida Fountain Gate maana yake umiliki wa awali umehama.

Sasa nisichokielewa ni hiki mbona Mwigulu bado anatajwa kama boss na mmiliki?? kiaje?

Mambo ya kutaka mchezaji fulani apangwe na hoja nyingine, hapa tunaongelea umiliki, mbunge na waziri wa fedha anapata wapi pesa zote za kumiliki timu?

Au tozo ndio zinaendesha hii timu?

Kuna nyingine ile iliyocheza na utopolo jana nayo ina hoja kama hii.

Karibuni
Utalogwa wewe mnyaturu🤣🤣🤣🤣
 
Inawezekana uyo waziri wakati anamiliki Singida United ulikua bado hauja anza kufuatilia mpira.

Uyo waziri ameanza kujihusisha na mpira wa miguu kitambo sana, kabla hajawa waziri na kuhusu wapi anapata fedha ilo lisikupe tabu.

Jamaa ni mfanya biashara kitambo na fedha anayo na anaupenda mpira.

Tena utajiri wake si wa kurithi kama baadhi ya matajiri wanao jihusisha na mpira kwasasa, amepambana mwenyewe sasa tusiwe na wivu na mafanikio ya watu na kutafuta namna ya kuwapaka matope.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mtumishi wa umma kitambo sana, huo muda wa biashara anaupataj
 
Back
Top Bottom