Kwani mtende hauwezi kuwa ndani ya banda la mifugo ? Unaweza kuniambia Issa alizaliwa mji gani na Yesu mji gani ?Issa alizaliwa chini ya mtende wakati Yesu alizaliwa katika banda la mifugo.
Issa hakufa wakati Yesu Kristo alikufa na kufufuka na kupaa mbinguni.
Hivi mtu akiwa amezaliwa Wilaya ya Ubungo na mwingine akasema amezalisa Dar. Vipi hali hii humfanya huyo mtu kuwa tofauti ?
Naomba unipe ushahidi wa Yesu kufa kisha akafufuka.