eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 310
Napataga kigugumizi sana nikisikia mtu kabadili dini kisha anabadilisha na jina, eti jina la Kiislam au la Kikristo.
Kwani ukibaki na jina lako na kuendelea na ibada za kumuabudu Mungu kwani haikubaliki? Nimebahatika kwenda Japan, China na Russia. Nimekuta kuna Waislaam wengi na wakristo, ila sijakuta mtu anaitwa Muhammad au William.
Kumjua mtu dini yake hadi umuulize lakini sio kwa jina. Sasa tunaomini hivyo tunakwama wapi?
Kwani ukibaki na jina lako na kuendelea na ibada za kumuabudu Mungu kwani haikubaliki? Nimebahatika kwenda Japan, China na Russia. Nimekuta kuna Waislaam wengi na wakristo, ila sijakuta mtu anaitwa Muhammad au William.
Kumjua mtu dini yake hadi umuulize lakini sio kwa jina. Sasa tunaomini hivyo tunakwama wapi?