ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Watanzania wengi tunamatatizo ya Ushamba hasa katika ujenzi wa nyumba, kiukweli sisi ambao tumekulia sana nchi za nje tunaona mambo ni tofauti sana.
Katika ujenzi wa nyumba hapa nchini, nyumba nyingi ni nzuri sana kwa nje na zimejengwa kwa gharama kubwa nje kuliko ndani, utadhani huko nje ya nyumba ndo tunakaa muda mwingi, hii yote wanafanya kwa kurusha roho wapita njia na majirani huku wengine ndani kukiwa ni pahovyo mno, wengine wanapaka rangi nje ndani hajapaka.
Uzuri wa nyumba unapaswa kuwa ndani ya nyumba ambapo ndo utakuwa unatumia muda wako mwingi wa maisha. Tujaribu kupiga kwa Wenzetu wa Dunia ya Tatu, mambo ya Ushamba tuyaache na tuangalie basics.
Sasa tubadilike
Katika ujenzi wa nyumba hapa nchini, nyumba nyingi ni nzuri sana kwa nje na zimejengwa kwa gharama kubwa nje kuliko ndani, utadhani huko nje ya nyumba ndo tunakaa muda mwingi, hii yote wanafanya kwa kurusha roho wapita njia na majirani huku wengine ndani kukiwa ni pahovyo mno, wengine wanapaka rangi nje ndani hajapaka.
Uzuri wa nyumba unapaswa kuwa ndani ya nyumba ambapo ndo utakuwa unatumia muda wako mwingi wa maisha. Tujaribu kupiga kwa Wenzetu wa Dunia ya Tatu, mambo ya Ushamba tuyaache na tuangalie basics.
Sasa tubadilike