Hivi channel ten nayo itajigamba ni TV?

Hivi channel ten nayo itajigamba ni TV?

Ray model

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2018
Posts
207
Reaction score
185
Yaani kiukweli hii channel ni sifuri

Ubora wa picha unasikitisha sana haina hata hamu kuitazama

Mnaboa kweli[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]

Ule wekundu wekundu wa picha yaani hata akitangaza mdada mweupe utadhani kaungua kwa mkorogo sio kwa wekunde ule wa picha jamani[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]


Hivi hawa boss wao ni nani?na anaridhika tu channel kuwa ubora mbovu hivi??


Hata 3gp ina afadhali kwakweli hii ni too much nadhan itakua 2gp maana sio kwa picha zile jomoni

Mpaka najiuliza kama nayo ni tv jamani

Halafu habari zenu za kusifiya sifiya muache nendeni azam au itv mkajifunze utangazaji huko.
 
Eti huyo nae kwao wakihesabu idadi ya watoto nae huhesabiwa.
[emoji116]inasikitisha kwa kweli... Yeye anadai eti ni model tu
tapatalk_1533040133788.jpeg
 
Wakuu nilichona hapo ni neno JOMONI
Wanaume wa Dar
 
Back
Top Bottom