Hivi Cardinal Pengo ni Mtanzania?

[/Mimi siyo Mkatoliki hivyo Pengo siyo kadinari wangu, lakini nasema kama CCM watafanya kampeni mbaya dhidi yake huo ndo utakuwa mwisho wao. Pengo hajafanya jambo lisilo la kizalendo hivyo anasupport ya wananchi most of them are CCM. Hao CCM tumeshuhudia wakifanya madudu toka tupate uhuru. Wananchi wanaona bora kuitosa CCM na siyo maneno ya busara ya Mhe. Pengo.

Tatizo lililopo hapa wapinzani wa ukristo wamejificha nyuma ya CCM na kuendeleza mipango yao ya kupinga ukristo na Kristo. Hawa ndo akina barubaru. Ukitaka kuona hili chunguza post zote za huyu barubaru.

Halafu hawa watu waliojificha nyuma ya CCM wengine si CCM, hivyo kuporomoka kwa CCM wao hakuwahusu. Tena wanaweza kupiga jiwe moja ndege wawili yaani kuiangusha CCM na kupinga Ukristo.
__________________
QUOTE].

Mimi ni mchambuzi tu wa mada mbali mbali hapa jamvini sina mipaka katika hilo. natumia haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.

Wewe na wengine wote mtaniona ni Mpinga katoliki KWA SABABU NI MMOJA AMBAO NAPINGA KWA NGUVU ZOOOOTE WARAKA WA KANISA KATOLIKI NA NASEMA KWA KINYWA KIPANA KUWA NI HATARI SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LA TANZANIA.

najua kila aliepinga waraka huo basi lazima akashifiwe na kutukanwa kama alivyotukanwa Mz Kingunge, na Mchungaji Kakobe. nami nipo tayari kwa hilo.


nakutakia Sikukuu njema
 
Burabura:

Hivi unajuwa Pope ni kiongozi wa hanisa katoliki Duniani na kiongozi wa nchi...?

Usijaribu kuingiza hoja mbadala zenye nia ya ku-confuse na kuondoa attention kwenye maswali ya msingi niliyokuuliza. Jibu maswali!

Je tanzania kuna ubalozi na mwakilishi wa holy see au wa Vatican?

Jibu ni: Tanzania ina Mwakilishi wa Holy See, aka APOSTOLIC NUNCIATURE OF THE HOLY SEE
 
Kutokana na kusoma mada mbalimbali humu jamvini na kujaribu kumuona kama vile Muadham kardinari Policarp Pengo hastahiki kuwa mtanzania.

Kwanza kabisa yeye ni mmoja wa wale wateule wanaoingia bila wasi wasi katikakumchagua kiongozi wa dhehebu la katoliki Duniani ambaye pia anakuwa kiongozi wa vatican.

Vile vile yeye anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wakatoliki duniani na Kiongozi wa nchi ya vatican, Kwani Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za kanisa katoliki anaweza kuwa kiongozi wa kidunia wa dhehebu hilo.

sasa kama kuna mtu anayeweza kuchagua kiongozi wa nchi nyingine na mwenye sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi bila shaka yoyote huyo atakuwa ni kiongozi wa nchi husika. Sasa naweza kusema Pengo ni M vatican.

Tunajuwa na naamini wazi yeye anahodhi pasipoti ya Tanzania na hivyo ni mtanzania.

Vile vile tunajua wazi wa tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili? sasa inakuwaje.

naomba wanasheria mlifafanue hilo.

naleta hoja

Hii ni hoja ya kijinga. Unaileta kwa sababu Pengo amesema Kanisa halitaacha kupinga ufisadi kwa vile ufisadi ni uovu. Na kuwa mkuu wa ufisadi ni ibilisi. Kwa nini haukusema Kadinari Rugambwa hakuwa Mtanzania. Kwa hiyo hutaki afanye kazi yake ya kukemea uovu. Huu ni upuuzi. Uleule wa CCM kusema Kambona hakuwa Mtanzania.
 
[/Mimi siyo Mkatoliki hivyo Pengo siyo kadinari wangu, lakini nasema kama CCM watafanya kampeni mbaya dhidi yake huo ndo utakuwa mwisho wao. Pengo hajafanya jambo lisilo la kizalendo hivyo anasupport ya wananchi most of them are CCM. Hao CCM tumeshuhudia wakifanya madudu toka tupate uhuru. Wananchi wanaona bora kuitosa CCM na siyo maneno ya busara ya Mhe. Pengo.

Tatizo lililopo hapa wapinzani wa ukristo wamejificha nyuma ya CCM na kuendeleza mipango yao ya kupinga ukristo na Kristo. Hawa ndo akina barubaru. Ukitaka kuona hili chunguza post zote za huyu barubaru.

Halafu hawa watu waliojificha nyuma ya CCM wengine si CCM, hivyo kuporomoka kwa CCM wao hakuwahusu. Tena wanaweza kupiga jiwe moja ndege wawili yaani kuiangusha CCM na kupinga Ukristo.
__________________
QUOTE].

Mimi ni mchambuzi tu wa mada mbali mbali hapa jamvini sina mipaka katika hilo. natumia haki ya kikatiba ya kutoa maoni yangu.

Wewe na wengine wote mtaniona ni Mpinga katoliki KWA SABABU NI MMOJA AMBAO NAPINGA KWA NGUVU ZOOOOTE WARAKA WA KANISA KATOLIKI NA NASEMA KWA KINYWA KIPANA KUWA NI HATARI SANA KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LA TANZANIA.

najua kila aliepinga waraka huo basi lazima akashifiwe na kutukanwa kama alivyotukanwa Mz Kingunge, na Mchungaji Kakobe. nami nipo tayari kwa hilo.


nakutakia Sikukuu njema
Kwa hiyo unaulizia uraia wa Pengo kwa sababu unapinga waraka? Haupingwi hapa kwa sababu unapinga waraka bali kwa sababu hoja yako haina mantik.

Mkatoliki yeyote anaweza kuteuliwa ( uPapa haugombewi) kuwa Papa, si lazima awe askofu au kadinali. Kwa hiyo, kwa mantik yako, wakatoliki wote uraia wao una walakin! Nilikuelezea rais wa Latvia aliyekuwa raia wa Canada alipoteuliwa kuwa rais. Nilikuelezea kuhusu rais wa Lithuania aliyeendelea kuwa raia wa marekani wakati wa uongozi wake! Sasa unataka uambiwe nini?

Unataka kujenga hoja kuwa Vatican haiwezi kuwa nchi kwa sababu asilimia kubwa ya raia wake ni wanaume na kwa hiyo hawawezi kuzaliana. Umefahamishwa kuwa uraia wa Vatican unatokana na ajira na si uzaliwa. Ndivyo walivyojiamulia kama nchi huru.

Unauliza kwa nini hakuna ubalozi wa nchi nyingine ndani ya Vatican. Mbona nchi nyingi zina uwakilishi Tanzania wakati balozi wao anakaa nchi nyingine. Mbona sisi mabalozi wetu wengine wanatuwakilisha katika nchi zaidi ya moja lakini ubalozi uko kwenye nchi moja! Tatizo liko wapi? Mbona hakuna nchi yenye ubaloziLiechtenstein ambayo na yenyewe ukubwa wake hauruhusu ujenzi wa balozi?

Umehoji uhalali wa Vatican ati kwa vile ya ukubwa wake. Umefahamishwa kuhusu nchi lukuki ambazo nazo ni ndogo. Kama hiyo Liechtenstein!

Hapana, Mkuu. Unapingwa kwa sababu hoja zako hazina maana na zinaonyesha upungufu wako wa uelewa.

Iddi njema.

Amandla........
 
Last edited:
Ameomba kutoa hoja na sisi tunamtukana nadhani hapo tunakosea.

aelimishwe huyu kwani tukimtibua na swaumu yake atazidi kuwa zaidi ya alivyo sasa

wenye kujua kuelimisha mpeni darasa dogo ili next time asije akajamba mbele ya wakubwa
 
Kwa hiyo unaulizia uraia wa Pengo kwa sababu unapinga waraka? Haupingwi hapa kwa sababu unapinga waraka bali kwa sababu hoja yako haina mantik.

Mkatoliki yeyote anaweza kuteuliwa ( uPapa haugombewi) kuwa Papa, si lazima awe askofu au kadinali.

Hiyo red ni uongo mkubwa sana na inabidii tuukemee sana SHINDWA, SHINDWA. NA ULEGEE MPAKA SEHEMU ZAKO ZA SIRI.
Ina maana wakatoliki mlikusanyika pale Holy see kuchagua Pope? Usitake kuongopea watu hapa we Fundi Mchundo.

Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari tu na si vinginevyo. Na wawakilishi wao kwenye nchi mbalimbali lazima wawe maaskofu na sio mapadre.

kama itakuwa Mkatoliki yeyote anaweza kuwa Pope. basi tungepata Pope mwenye mke. Kwani ni maaskofu, mapadre tu katika ukatoliki hawaruhusiwi kuoa lakini waumini wanaruhusiwa kuoa.

Vile vile nilieleta bandiko ni mimi na sio Barubaru. Soma vizuri usikurupuke
 
Kifupi ili kupata jibu lazima tuzifafanue

Mosi:sheria za Kimataifa zinazohusu haki za mwananchi hususan kuchagua na kuchaguliwa katika uongozi wa juu.

Pili kuangalia sheria za Tanzania zinazobainisha Haki ya mwananchi katika kuchagua au kuchaguliwa Uongozi wa juu.

tatu. Sheria za Uraia za Tanzania.

Nne. Sheria za vatican ( za uraia na haki za kiuongozi kuchagua ima kuchagulia.

Kwa upande wangu nitazifafanua sheria za Kimataifa na zile za Tanzania. lakini sina uwezo kuzieleza sheria za kanisa katoliki kwani sijazipitia .

Kwani hata ukisoma International laws utaona vatican mnaiacha upande mwingine kwani haifungamani na sababu kuu za kuwa hivyo ni

1. Ni nchi ndogo kabisa Duniyani yenye idadi ndogo ya watu( Ina watu wasiozidi 600)
2. Asilimia zaidi ya 98 ya raia wake wanaume
3.Nchi yenye balozi (wawakilishi)zake kwenye nchi mbalimbali duniyani lakini hakuna hata nchi moja Duniyani yenye ubalozi wake ndani ya Vatican.
4. Nchi ambayo inaruhusu raia wa nje wanakuwa viongozi wake wa juu
5. wawakilishi wake a kibalozi lazima wawe maaskofu.

nasherehekea Eid lakini nitaeleza baada ya sikukuu.

nawatakia Eid Mubarak
.

Nasubiri Jibu barubaru kwani inaelekea wengi hatujui elimu za Uraia hapa. Tupe darsa
 
Ameomba kutoa hoja na sisi tunamtukana nadhani hapo tunakosea.

aelimishwe huyu kwani tukimtibua na swaumu yake atazidi kuwa zaidi ya alivyo sasa

wenye kujua kuelimisha mpeni darasa dogo ili next time asije akajamba mbele ya wakubwa
.

haya ndio maneno MSANII.

Hakika wengi wa watu hapa ni wale wasiozingatia ukweli na uhuru wa kutoa mawazo. wao wanakalia kutukana tu bila kuwa na mashiko.

lakini tumewazoea na tunajua janja yao. Kwa suala hili NI LAZIMA KIELEWEKE
 
kwa wakatoliki na wasio wakatoliki ni kweli kuwa polkarp kardinal pengo ana urai wa nchi mbili yaani vatican state na tanzania, kuna mikataba mingi ya kuhusu vatican state au holy see, leo nina haraka nitaweka bandiko hapa kumjibu mwenye hoja
.

Mwakimbi nazidi kuvuta subra kusubiri jibu. Kwani wahenga wamenena subra yavuta heri.

nakusubiri mkuu
 
Hiyo red ni uongo mkubwa sana na inabidii tuukemee sana SHINDWA, SHINDWA. NA ULEGEE MPAKA SEHEMU ZAKO ZA SIRI.
Ina maana wakatoliki mlikusanyika pale Holy see kuchagua Pope? Usitake kuongopea watu hapa we Fundi Mchundo.

Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari tu na si vinginevyo. Na wawakilishi wao kwenye nchi mbalimbali lazima wawe maaskofu na sio mapadre.

kama itakuwa Mkatoliki yeyote anaweza kuwa Pope. basi tungepata Pope mwenye mke. Kwani ni maaskofu, mapadre tu katika ukatoliki hawaruhusiwi kuoa lakini waumini wanaruhusiwa kuoa.

Vile vile nilieleta bandiko ni mimi na sio Barubaru. Soma vizuri usikurupuke

The pope was originally chosen by those senior clergymen resident in and near Rome. In 1059 the electorate was restricted to the Cardinals of the Holy Roman Church, and the individual votes of all Cardinal Electors were made equal in 1179. Pope Urban VI, elected 1378, was the last pope who was not already a cardinal at the time of his election. Canon law requires that if a layman or non-bishop is elected, he receives episcopal consecration from the Dean of the College of Cardinals before assuming the Pontificate. Under present canon law, the pope is elected by the cardinal electors, comprising those cardinals who are under the age of 80.
Niliishakushauri kuwa uache uvivu. Google iko kwa ajili ya watu kama wewe. Ingawa mwanzo uteuzi wa Pope ulifanyika kutoka miongoni mwa makadinali lakini sasa hivi yeyote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa. Ikiwa mtu asiye kadinali anateuliwa basi anapewa uaskofu kabla ya kukalia kiti cha upapa. Katika uteuzi uliopita palikuwa na tetesi kuwa wangeweza kuteua mtu asiye kadinali. Hii haikutokea lakini inawezekana. Kwa vile ni jopo la makadinali ndilo linalofanya uteuzi hakuna mahali ambapo wanalazimishwa kumteua mtu miongoni mwao. Imani yao ni kuwa uteuzi huo unaongozwa na mwenyezi Mungu kwa hiyo hawawezi kumlazimisha mwenyezi awachagulie mtu kutoka miongoni mwao tu! Ukumbuke kuwa kila nchi ina mfumo wake wa kuchagua kiongozi wake. Nchi nyingine anapigiwa kura na wananchi wote waliotimiza masharti ya kupiga kura. Nchi nyingine ni kiongozi wa chama kilichopata wabunge wengi zaidi ( Uingereza haikumpigia kura Brown kuwa waziri Mkuu), nchi nyingine ni wabunge wanaompigia kura rais. Hakuna standard. Kila nchi huru inajiamulia. Concept ambayo nadhani kwako ni vigumu kuelewa.

Mahali ambapo ungeweza kunisahihisha ni kuniambia kuwa wakatoliki wakike hawawezi kuchaguliwa kuwa Papa kwa vile kanisa katoliki halina mapdri wa kike. Kuhusu kuteuliwa mkatoliki mwenye mke hilo (theoretically kama ilivyo nchini mwetu mwanamke na raia asiye mweusi anaweza kuchaguliwa kuwa rais) linawezekana kama vile ambavyo mapadri wakianglikana walivyokubaliwa kujiunga na ukatoliki bila kutaliki wake zao.

Sehemu zangu za siri zinakuhusu nini? Unajuaje kuwa hazijalegea bado?

Kwangu hamna tofauti. Wewe na Barubaru ni walewale.

Amandla.........
 
Last edited:
.

Semilong je wewe unaweza kugombea kuwa waziri mkuu wa UK.

Elewa haki ya kuchagua na kuchaguliwa katika uongozi wa juu.

Wewe unaongelea kuchagua na si kuchaguliwa. tafakari hilo.
nikiomba urai wa UK na kupewa basi naweza kugombea (hii itatokana na sheria za UK zinasemaje kuhusu watu waliokuja)
governer wa califonia si ni raia wa austria, na alivyopata uraia wa marekani akagombea u-governer
wewe ndio utafakari vitu unavyoandika, umetolewa mifano kibao hapo juu lakini utaki kuelewa

mfano uliotokea TZ kipindi cha nyuma - marehemu (mzee wa makondeko) alikuwa anaiwakilisha nchi ndani ya TZ wakati yeye ni mTZ
 
Niliishakushauri kuwa uache uvivu. Google iko kwa ajili ya watu kama wewe. Ingawa mwanzo uteuzi wa Pope ulifanyika kutoka miongoni mwa makadinali lakini sasa hivi yeyote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa. Ikiwa mtu asiye kadinali anateuliwa basi anapewa uaskofu kabla ya kukalia kiti cha upapa. Katika uteuzi uliopita palikuwa na tetesi kuwa wangeweza kuteua mtu asiye kadinali. Hii haikutokea lakini inawezekana. Kwa vile ni jopo la makadinali ndilo linalofanya uteuzi hakuna mahali ambapo wanalazimishwa kumteua mtu miongoni mwao. Imani yao ni kuwa uteuzi huo unaongozwa na mwenyezi Mungu kwa hiyo hawawezi kumlazimisha mwenyezi awachagulie mtu kutoka miongoni mwao tu! Ukumbuke kuwa kila nchi ina mfumo wake wa kuchagua kiongozi wake. Nchi nyingine anapigiwa kura na wananchi wote waliotimiza masharti ya kupiga kura. Nchi nyingine ni kiongozi wa chama kilichopata wabunge wengi zaidi ( Uingereza haikumpigia kura Brown kuwa waziri Mkuu), nchi nyingine ni wabunge wanaompigia kura rais. Hakuna standard. Kila nchi huru inajiamulia. Concept ambayo nadhani kwako ni vigumu kuelewa.

Mahali ambapo ungeweza kunisahihisha ni kuniambia kuwa wakatoliki wakike hawawezi kuchaguliwa kuwa Papa kwa vile kanisa katoliki halina mapdri wa kike. Kuhusu kuteuliwa mkatoliki mwenye mke hilo (theoretically kama ilivyo nchini mwetu mwanamke na raia asiye mweusi anaweza kuchaguliwa kuwa rais) linawezekana kama vile ambavyo mapadri wakianglikana walivyokubaliwa kujiunga na ukatoliki bila kutaliki wake zao.

Sehemu zangu za siri zinakuhusu nini? Unajuaje kuwa hazijalegea bado?

Kwangu hamna tofauti. Wewe na Barubaru ni walewale.

Amandla.........

Kwa upande mmoja Zee la Kufuturisha, HM Hafif hajakosea kwa kudai kuwa ni Makadinali tu wanaweza kuteuliwa kuwa Papa.

Whatever Canon Law may suggest about who may qualify to be elected as Pope: for all practical purposes, chance ya asiye Kadinali kuwa Papa ni ndogo sana, na chance ya Mlei kuwa Papa ni virtually non-existent.
 
Kwa upande mmoja Zee la Kufuturisha, HM Hafif hajakosea kwa kudai kuwa ni Makadinali tu wanaweza kuteuliwa kuwa Papa.

Whatever Canon Law may suggest about who may qualify to be elected as Pope: for all practical purposes, chance ya asiye Kadinali kuwa Papa ni ndogo sana, na chance ya Mlei kuwa Papa ni virtually non-existent.

Ni kama vile ilivyo kwa Kadinali mwafrika kuwa Papa (pengine sio kwa kiwango hicho hicho). Tatizo ni hawa jamaa kutumia uwezekano huo kuwa moja ya vigezo vya kusema Pengo si Mtanzania! Tukumbuke kuwa pamekuwepo maPapa wachache mno wasio waitaliano. Hivi sasa inakubalika wakitoka nje ya Italia lakini naamini itachukua muda kupatikana asie mzungu. Si kwa vile ni wabaguzi lakini wingi wao katika nafasi za uongozi ndio unawapa nafasi zaidi. Itakuja siku atakuwepo Papa mweusi lakini bado. Kumhukumu Pengo ati kwa vile anapiga kura au theoretically anaweza kupigiwa kura kuwa Papa si kumtendea haki.

Amandla........
 
Ni kama vile ilivyo kwa Kadinali mwafrika kuwa Papa (pengine sio kwa kiwango hicho hicho). Tatizo ni hawa jamaa kutumia uwezekano huo kuwa moja ya vigezo vya kusema Pengo si Mtanzania! Tukumbuke kuwa pamekuwepo maPapa wachache mno wasio waitaliano. Hivi sasa inakubalika wakitoka nje ya Italia lakini naamini itachukua muda kupatikana asie mzungu. Si kwa vile ni wabaguzi lakini wingi wao katika nafasi za uongozi ndio unawapa nafasi zaidi. Itakuja siku atakuwepo Papa mweusi lakini bado. Kumhukumu Pengo ati kwa vile anapiga kura au theoretically anaweza kupigiwa kura kuwa Papa si kumtendea haki.

Amandla........

Sawa kabisa! takbiru alaa walibalu!
 
It was within canon law, and still is, for priests to have once been married before receiving Holy Orders. In the Eastern Rite branches of the Catholic Church, it is within canon law to be a priest and married (but one may not marry after ordination).
  • Saint Peter (Simon Peter), whose mother-in-law is mentioned in the Bible as having been miraculously healed (Matthew 8:14-15, Luke 4:38, Mark 1:29-31). According to Clement of Alexandria (Stromata, III, vi, ed. Dindorf, II, 276), Peter was married and had children and his wife suffered martyrdom. In some legends dating from at least the 6th century, Peter's daughter is called Petronilla. [2][3] Pope Clement I wrote: "For Peter and Philip begat children; [..] When the blessed Peter saw his own wife led out to die, he rejoiced because of her summons and her return home, and called to her very encouragingly and comfortingly, addressing her by name, and saying, 'Remember the Lord.' Such was the marriage of the blessed, and their perfect disposition toward those dearest to them."[4]
  • Pope St. Hormisdas (514–523) was married and widowed before ordination. He was the father of Pope St. Silverius.[5]
  • Pope Adrian II (867–872) was married, before taking orders, and had a daughter.[6]
  • Pope John XVII (1003) was married before his election to the papacy and had three sons, who all became priests.[7]
  • Pope Clement IV (1265–1268) was married, before taking holy orders, and had two daughters.[8]
  • Pope Honorius IV (1285–1287) was married before he took the Holy Orders and had at least two sons. He entered the clergy after his wife died, the last pope to have been married.

Hawa jamaa ni wavivu. Jamaa anadai kuwa haiwezekani m-lei kuwa Papa kwa sababu mtu aliyeoa hawezi kuwa Kadinali. Canon Law haikatazi mtu aliyeoa kuingia kwenye upadiri. Kinachokatazwa ni kuoa baada ya kuwa Padri. Hiyo hapo ni orodha ya mapapa waliokuwa wameoa kabla ya kuwa mapadri. Celibacy ni kwa mtu asiyeoa na aliyeingia kwenye upadri au utawa.

Amandla......
 
Simply incoherent, unsubstantiated and self defeating in a way that would make Plaxico a war hero.

Yaani unajenga hoja halafu unaibomoa mwenyewe, nyingine unaijenga bila msingi.

The structure of the state of Vatican, being based on a Roman Catholic city- state and a wordwise constituent, is unique and your comparison is the proverbial comparison of apples to oranges.You conceded that Cardinal Pengo holds a Tanzanian passport and that should close the matter.

To make matters worse, you want to disqualify cardinal Pengo based on his ecclesiastic eligibility and an unrealized future, why don't you then go ahead and declare all Catholics -or at least the unmarried ones- to be non-Tanzanians because they are eligible to enter the clergy and eventually be pope?

What kind of lethargic logic is this? Is there something else behind this unfortunate if not unassertive argument?

Is this the best you can do?

Bluray, I like your reasoning! What the guy has said is what I call "intellectual masturbation."
 
Kama nilivyo kuahidi Bro HM Hafif nitachambua kidogo Kutoka katiba ya JM Tanzania kuhusu sifa za kiongozi wa juu yaani Rais na haki za kupiga kura. Tukiangalia Uchaguzi wa Rais Sheria ya 15 ya mwaka 1984, Ibara ya 19 inasema
'
38​
.-(1) Rais atachaguliwa na wananchi kwa mujibu wa
masharti ya Katiba hii na kwa mujibu wa sheria itakayoweka

masharti kuhusu uchaguzi wa Rais ambayo itatungwa na Bunge kwa kufuata masharti ya katiba hii''

Na Sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania Sheria ya 4 ya mwaka 1992,Sheria ya 13 ya mwaka 1994,Sheria ya 34 ya mwaka 1994 na sheria ya 3 ibara ya 7 ya mwaka 2000 zinabainisha kuwa

39​
.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa
Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa

kodi yoyote ya Serikali.


Sasa utaona hizo ni sifa za Mtu kuweza kuchaguliwa kugombea uongozi wa juu ndani ya Tanzania.

Kwa haraka haraka tuiangalie tene katiba ya JM wa TZ inasemaje kuhusu haki ya kupiga kura sheria ya 15 ya mwaka 1984 ibara ya 6 na sheria ya 3 ya mwaka 2000 ibara ya 4

5​
.-(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka
kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti
mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini
Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2) Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti
yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana
na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo-
(a) kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b) kuwa na ugonjwa wa akili;
(c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa
kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama
mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote

inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.

Sasa utaona wazi mtu mwenye uraia wa nchi mbili haruhusiwi kabisa kupata ruhsa ya kupata haki ya Kupiga kura. Na kama ilivyo kama huna haki ya kupiga kura basi automatic huna haki hata ya kugombea uongozi katika Tanzania.

Hafif hao ni kwa ufupi tu kuhusu haki ya mtu kugombea uongozi wa juu kuhusu Tanzania. Naeza kuzidi bainisha zaidi lakini naona watu wengi wana jazba kubwa na kutotaka wengi wafaidike na darsa hili.

Lakini kama nilivyobainisha awali nitapembua vile vile sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu ili nikijaaliwa Insh'Allah baadayn.

kama kuna suala Naruhusu Bismillah..



Nasriyah Saleh Al Nahdi
Doha. Qatar
 
Kama nilivyo kuahidi Bro HM Hafif nitachambua kidogo Kutoka katiba ya JM Tanzania kuhusu sifa za kiongozi wa juu yaani Rais na haki za kupiga kura. Tukiangalia Uchaguzi wa Rais Sheria ya 15 ya mwaka 1984, Ibara ya 19 inasema
'

38
.-(1) Rais atachaguliwa na wananchi kwa mujibu wa

masharti ya Katiba hii na kwa mujibu wa sheria itakayoweka

masharti kuhusu uchaguzi wa Rais ambayo itatungwa na Bunge kwa kufuata masharti ya katiba hii''

Na Sifa za mtu kuchaguliwa kuwa Rais wa Tanzania Sheria ya 4 ya mwaka 1992,Sheria ya 13 ya mwaka 1994,Sheria ya 34 ya mwaka 1994 na sheria ya 3 ibara ya 7 ya mwaka 2000 zinabainisha kuwa


39


.-(1) Mtu hatastahili kuchaguliwa kushika kiti cha Rais wa

Jamhuri ya Muungano isipokuwa tu kama-
(a) ni raia wa kuzaliwa wa Jamhuri ya Muungano kwa
mujibu wa Sheria ya Uraia.
(b) ametimiza umri wa miaka arobaini;
(c) ni mwanachama, na mgombea aliyependekezwa na
chama cha siasa;
(d) anazo sifa za kumwezesha kuwa Mbunge au Mjumbe
wa Baraza la Wawakilishi,
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya
Uchaguzi Mkuu hajawahi kutiwa hatiani katika
Mahakama yoyote kwa kosa lolote la kukwepa kulipa


kodi yoyote ya Serikali.


Sasa utaona hizo ni sifa za Mtu kuweza kuchaguliwa kugombea uongozi wa juu ndani ya Tanzania.​

Kwa haraka haraka tuiangalie tene katiba ya JM wa TZ inasemaje kuhusu haki ya kupiga kura sheria ya 15 ya mwaka 1984 ibara ya 6 na sheria ya 3 ya mwaka 2000 ibara ya 4


5


.-(1) Kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka

kumi na minane anayo haki ya kupiga kura katika uchaguzi
unaofaywa Tanzania na wananchi. Na haki hii itatumiwa kwa
kufuata masharti ya ibara ndogo ya (2) pamoja na masharti
mengineyo ya Katiba hii na ya Sheria inayotumika nchini
Tanzania kuhusu mambo ya uchaguzi.
(2) Bunge laweza kutunga sheria na kuweka masharti
yanayoweza kuzuia raia asitumie haki ya kupiga kura kutokana
na yoyote kati ya sababu zifuatazo, yaani raia huyo-
(a) kuwa na uraia wa nchi nyingine;
(b) kuwa na ugonjwa wa akili;
(c) kutiwa hatiani kwa makosa fulani ya jinai;
(d) kukosa au kushindwa kuthibitisha au kutoa
kitambulisho cha umri, uraia au uandikishwaji kama
mpiga kura,
mbali na sababu hizo hakuna sababu nyingine yoyote


inayoweza kumzuia raia asitumie haki ya kupiga kura.

Sasa utaona wazi mtu mwenye uraia wa nchi mbili haruhusiwi kabisa kupata ruhsa ya kupata haki ya Kupiga kura. Na kama ilivyo kama huna haki ya kupiga kura basi automatic huna haki hata ya kugombea uongozi katika Tanzania.

Hafif hao ni kwa ufupi tu kuhusu haki ya mtu kugombea uongozi wa juu kuhusu Tanzania. Naeza kuzidi bainisha zaidi lakini naona watu wengi wana jazba kubwa na kutotaka wengi wafaidike na darsa hili.

Lakini kama nilivyobainisha awali nitapembua vile vile sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu ili nikijaaliwa Insh'Allah baadayn.

kama kuna suala Naruhusu Bismillah..



Nasriyah Saleh Al Nahdi
Doha. Qatar

Hivi unachojadili ni nini? Naona kama umeanzia kwenye hitimisho vile. Kwanza weka 'premises' zako wazi ili tuweze kuelewa unachojadili. Halafu, utachambua na kujadili Katiba za nchi gani?
 
Last edited:
Hivi unachojadili ni nini? Naona kama umeanzia kwenye hitimisho vile. Kwanza weka 'premises' zako wazi ili tuweze kuelewa unachojadili. Halafu, uchambua na kujadili Katiba za nchi gani?
.

Acha kudandia Treni kwa mbele Magobe.

Fuatilia mjadala toka mwanzoni ili uweze elewa nafafanua kitu gani.
 
Swaumu hufanya ubongo wakati mwingiene kushindwa kufanya kazi....upuuzi huu...!

Tunasoma katika maandiko kuwa ''Mungu'' Yesu alifunga (swaum) jee ina maana na huyu ''Mungu'' ubongo wake ulikuwa haufanyi kazi alipofunga (swaum?

Jibu bila hamasa tafadhali, kwa sababu hii ya kufunga (Swaum) sio kwa waIslam tu, nadhani hata waKiristo wana siku zao za kufunga ( kwarisima) na mabaniani nao wanazo, na mayahhudi wanazo.
 
Back
Top Bottom