Hivi Cardinal Pengo ni Mtanzania?

[Sasa utaona wazi mtu mwenye uraia wa nchi mbili haruhusiwi kabisa kupata ruhsa ya kupata haki ya Kupiga kura. Na kama ilivyo kama huna haki ya kupiga kura basi automatic huna haki hata ya kugombea uongozi katika Tanzania.

Hafif hao ni kwa ufupi tu kuhusu haki ya mtu kugombea uongozi wa juu kuhusu Tanzania. Naeza kuzidi bainisha zaidi lakini naona watu wengi wana jazba kubwa na kutotaka wengi wafaidike na darsa hili.

Lakini kama nilivyobainisha awali nitapembua vile vile sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu ili nikijaaliwa Insh'Allah baadayn.

kama kuna suala Naruhusu Bismillah..

/QUOTE]

Ahsantum Bi Nasriyah.

Mimi binafsi ni mfuasi halisi wa darsa yako. nazidi kukuombea unipe dhahiri na nina mengi ya kuku uliza hususan katika fani hii ya sheria.

Tafadhali usivunjike moyo na hawa wapuuzi wanaopinga darsa hii kwani NI RAHISI SANA KUMUAMISHA NYANI PORINI NA KUMLETA NYUMBANI LAKINI SI RAHISI KULIONDOA PORI KICHWANI KWAKE NYANI.


NAKUTAKIA SIKU NJEMA NA DOCTOR.
 
i NI RAHISI SANA KUMUAMISHA NYANI PORINI NA KUMLETA NYUMBANI LAKINI SI RAHISI KULIONDOA PORI KICHWANI KWAKE NYANI.
.

Sure Bro Hafif. Nimeupenda sana usemi wako na kwa idhini yako naomba niuchukue na kuutumia katika machapisho yangu.

Nitapita baadae kuendelea
 
Mi nadhani hoja ya utanzania wa Kardinali hauna msingi wowote. Kwani Asha-Rose Migiro si Mtanzania? Mbona ana pasipoti ya Umoja wa Mataifa? Mbona Salim A. Salim alipkuwa rais wa Umoja wa Mataifa alikuwa na pasipoti ya UN, je utanzania wake ulikufa? Hapana! Sasa Cardinal Pengo kuwa Kardinali ndio imekuwa nongwa? Pengo hana uraia wa nchi mbili. Kwa hiyo hoja yako haina msingi.

umemjibu vyema
 
Kutokana na kusoma mada mbalimbali humu jamvini na kujaribu kumuona kama vile Muadham kardinari Policarp Pengo hastahiki kuwa mtanzania.

Kwanza kabisa yeye ni mmoja wa wale wateule wanaoingia bila wasi wasi katikakumchagua kiongozi wa dhehebu la katoliki Duniani ambaye pia anakuwa kiongozi wa vatican.

Vile vile yeye anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wakatoliki duniani na Kiongozi wa nchi ya vatican, Kwani Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za kanisa katoliki anaweza kuwa kiongozi wa kidunia wa dhehebu hilo.

sasa kama kuna mtu anayeweza kuchagua kiongozi wa nchi nyingine na mwenye sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi bila shaka yoyote huyo atakuwa ni kiongozi wa nchi husika. Sasa naweza kusema Pengo ni M vatican.

Tunajuwa na naamini wazi yeye anahodhi pasipoti ya Tanzania na hivyo ni mtanzania.

Vile vile tunajua wazi wa tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili? sasa inakuwaje.

naomba wanasheria mlifafanue hilo.

naleta hoja
Mkuu umeraise issue kigongo. Hebu wanazuoni tufafanulieni hii kitu inakuaje.
 
Mti wenye matunda mazuri ndio unaorushiwa mawe. Pengo ni mti huo:
 
ZA karibuni kabisa ukweli Pengo sio mtanzania hata wa kuzaliwa bali ni Mkongoman wa DRC na kwao ni kivu kule Congo
Ndo maana amekuwa akifanya kazi za kimafia kutaka kugonganisha serikali na waislam
Amekua akitumia nafasi yake hio ya Ukadinali kuwa bonda waislam ili lengo nchi ichafuke
Ni mtu hatari sana
Sio mzaliwa wa Bongo hii ni mzaliwa wa Congo aliekulia kkanisani TZ na kutokana na

kuwa mtoto mwema na madhia wa kwa kila kitu basi ameukwaa huo ukadiali analipwa fadhila na atafanya kila kitu anachoambiwa kutoka vatikan hata kama hakina maslah na TZ
Huyu ni hatari hana uchungu na TZ sauti yake na macho yake anapo ongea ni shahidi ya kuwa ni maridhia wa mambo ya Vatikan
Yaani yale ya nchi ya watu 600 na 98% nio wanaume watupu !
using JamiiForums
 
ZA karibuni kabisa ukweli Pengo sio mtanzania hata wa kuzaliwa bali ni Mkongoman wa DRC na kwao ni kivu kule Congo
Ndo maana amekuwa akifanya kazi za kimafia kutaka kugonganisha serikali na waislam
Amekua akitumia nafasi yake hio ya Ukadinali kuwa bonda waislam ili lengo nchi ichafuke
Ni mtu hatari sana
Sio mzaliwa wa Bongo hii ni mzaliwa wa Congo aliekulia kkanisani TZ na kutokana na

kuwa mtoto mwema na madhia wa kwa kila kitu basi ameukwaa huo ukadiali analipwa fadhila na atafanya kila kitu anachoambiwa kutoka vatikan hata kama hakina maslah na TZ
Huyu ni hatari hana uchungu na TZ sauti yake na macho yake anapo ongea ni shahidi ya kuwa ni maridhia wa mambo ya Vatikan
Yaani yale ya nchi ya watu 600 na 98% nio wanaume watupu !
using JamiiForums

***** mtuma thread.Stupid post!
 
ZA karibuni kabisa ukweli Pengo sio mtanzania hata wa kuzaliwa bali ni Mkongoman wa DRC na kwao ni kivu kule Congo
Ndo maana amekuwa akifanya kazi za kimafia kutaka kugonganisha serikali na waislam
Amekua akitumia nafasi yake hio ya Ukadinali kuwa bonda waislam ili lengo nchi ichafuke
Ni mtu hatari sana
Sio mzaliwa wa Bongo hii ni mzaliwa wa Congo aliekulia kkanisani TZ na kutokana na

kuwa mtoto mwema na madhia wa kwa kila kitu basi ameukwaa huo ukadiali analipwa fadhila na atafanya kila kitu anachoambiwa kutoka vatikan hata kama hakina maslah na TZ
Huyu ni hatari hana uchungu na TZ sauti yake na macho yake anapo ongea ni shahidi ya kuwa ni maridhia wa mambo ya Vatikan
Yaani yale ya nchi ya watu 600 na 98% nio wanaume watupu !
using JamiiForums

Kichefuchefu hiki...Hebu nenda kaswali uongeze idadi ya majini..
 
ZA karibuni kabisa ukweli Pengo sio mtanzania hata wa kuzaliwa bali ni Mkongoman wa DRC na kwao ni kivu kule Congo
Ndo maana amekuwa akifanya kazi za kimafia kutaka kugonganisha serikali na waislam
Amekua akitumia nafasi yake hio ya Ukadinali kuwa bonda waislam ili lengo nchi ichafuke
Ni mtu hatari sana
Sio mzaliwa wa Bongo hii ni mzaliwa wa Congo aliekulia kkanisani TZ na kutokana na

kuwa mtoto mwema na madhia wa kwa kila kitu basi ameukwaa huo ukadiali analipwa fadhila na atafanya kila kitu anachoambiwa kutoka vatikan hata kama hakina maslah na TZ
Huyu ni hatari hana uchungu na TZ sauti yake na macho yake anapo ongea ni shahidi ya kuwa ni maridhia wa mambo ya Vatikan
Yaani yale ya nchi ya watu 600 na 98% nio wanaume watupu !
using JamiiForums

wewe sio mzima. Inatosha
 
Kutokana na kusoma mada mbalimbali humu jamvini na kujaribu kumuona kama vile Muadham kardinari Policarp Pengo hastahiki kuwa mtanzania.

Kwanza kabisa yeye ni mmoja wa wale wateule wanaoingia bila wasi wasi katikakumchagua kiongozi wa dhehebu la katoliki Duniani ambaye pia anakuwa kiongozi wa vatican.

Vile vile yeye anaweza kuchaguliwa kuwa kiongozi wa wakatoliki duniani na Kiongozi wa nchi ya vatican, Kwani Pope anachaguliwa miongoni mwa makadinari. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za kanisa katoliki anaweza kuwa kiongozi wa kidunia wa dhehebu hilo.

sasa kama kuna mtu anayeweza kuchagua kiongozi wa nchi nyingine na mwenye sifa za kuchaguliwa kuwa kiongozi bila shaka yoyote huyo atakuwa ni kiongozi wa nchi husika. Sasa naweza kusema Pengo ni M vatican.

Tunajuwa na naamini wazi yeye anahodhi pasipoti ya Tanzania na hivyo ni mtanzania.

Vile vile tunajua wazi wa tanzania hawaruhusu uraia wa nchi mbili? sasa inakuwaje.

naomba wanasheria mlifafanue hilo.

naleta hoja

Polycarp Pengo (born August 5, 1944, in the parish of Mwazye, Diocese of Sumbawanga in Tanzania) is the Archbishop of Dar-es-Salaam, Tanzania.

Ordained a priest in 1971, he studied Moral Theology in Rome at the Pontifical Lateran University, obtaining a doctorate in 1977. He taught Moral theology in Kipalapala Theological Seminary for a short time, and then became the first Rector of Segerea Theological Seminary up to 1983.

He was made Bishop of Nachingwea in 1983, and of Tunduru-Masasi in 1986, assuming the post the following year.

In 1990 he was named Coadjutor Archbishop of Dar es Salaam, and in 1992 he became Archbishop of Dar-es-Salaam, following the resignation of Cardinal Laurean Rugambwa.

Cardinal Pengo was proclaimed a Cardinal by Pope John Paul II in the consistory of February 21, 1998. Pengo was one of the cardinal electors who participated in the 2005 papal conclave that elected Pope Benedict XVI.

He has the following Curial Memberships Evangelization of the Peoples, Doctrine of Faith (congregations). Interreligious Dialogue, Culture (councils) Special Council for Africa of the General of the Synod of Bishops.

On Tuesday, September 18, 2012, he was appointed by Pope Benedict XVI as a Synod Father for the upcoming October 2012 13th Ordinary General Assembly of the Synod of Bishops.

Kwa data hapo juu inaonyesha kuwa Cardinal Pengo amezaliwa Tanzania (ni mtanzania kwa kuzaliwa) na amesomea Tanzania; na anafanya kazi Tanzania. Hajawahi kukana uraia wa Tanzania, ila kwa wadhifa wake lazima ana Diplomatic Passport ya Tanzania.

 
Unataka kumkngoli kama alivyowaambia shehe wenu yule ? Sijui nani tena , anayewaambia ueni mapadri , maaskofu na makardinali. Ubongo ukioza unaleta shida kweli kweli
 
Unataka kumkngoli kama alivyowaambia shehe wenu yule ? Sijui nani tena , anayewaambia ueni mapadri , maaskofu na makardinali. Ubongo ukioza unaleta shida kweli kweli

hawa ni wafuasi wa shehe Ilunga na mzee chauchochezi Moh'd Said
 
Usiwinde usichoweza kukila huo ni uharibifu. Kama hufahamu taratibu na sheria za kanisa katoliki basi waulize kwanza wakatoliki ili uzijue ndio uje hapa na hoja ya nama hii
 
Mnavyomwogopa kipanga jiniasi Pengo ni kama mnavyoiogopa CDM!! Mapadre ni wasomi!! Wanasoma over 13 years na maskofu ni hatari zaidi!! Kumbuka hawa ni wale cream za seminary ambazo mchujo wake ulikuwa hatari!!! Kwa maana hiyo huwezi kufananisha mapadre wa kanisa katoliki na hata viongozi wengine au niseme wachungaji na maaskofu wa makanisa mengine hasa kwa Tanzannia!! Na kwa Pengo ni special kabisa!! Ukiachilia mbali Marehemu Mwalimu na Askofu Amedeus Msarikie!! Rest in Peace the Right Reverend. My role model.

Ndiyo maana hawahubiri fujo na utengano!!!
 
Jaman shemej langu huyo wakunyumba ati ;;ukiamka nguo zimefuliwa na kuanikwa na nani sijui;;yaan uko usimnyoosheee kidole mtu ata sikumoja ama kujfanya unajua nyumba za matofali utazikwa umo ndan aijamalizika
 
Polycarp Pengo (born August 5, 1944, in the parish of Mwazye, Diocese of Sumbawanga in Tanzania) is the Archbishop of Dar-es-Salaam, Tanzania.

Ordained a priest in 1971, he studied Moral Theology in Rome at the Pontifical Lateran University, obtaining a doctorate in 1977. He taught Moral theology in Kipalapala Theological Seminary for a short time, and then became the first Rector of Segerea Theological Seminary up to 1983.

He was made Bishop of Nachingwea in 1983, and of Tunduru-Masasi in 1986, assuming the post the following year.

In 1990 he was named Coadjutor Archbishop of Dar es Salaam, and in 1992 he became Archbishop of Dar-es-Salaam, following the resignation of Cardinal Laurean Rugambwa.

Cardinal Pengo was proclaimed a Cardinal by Pope John Paul II in the consistory of February 21, 1998. Pengo was one of the cardinal electors who participated in the 2005 papal conclave that elected Pope Benedict XVI.

He has the following Curial Memberships Evangelization of the Peoples, Doctrine of Faith (congregations). Interreligious Dialogue, Culture (councils) Special Council for Africa of the General of the Synod of Bishops.

On Tuesday, September 18, 2012, he was appointed by Pope Benedict XVI as a Synod Father for the upcoming October 2012 13th Ordinary General Assembly of the Synod of Bishops.

Kwa data hapo juu inaonyesha kuwa Cardinal Pengo amezaliwa Tanzania (ni mtanzania kwa kuzaliwa) na amesomea Tanzania; na anafanya kazi Tanzania. Hajawahi kukana uraia wa Tanzania, ila kwa wadhifa wake lazima ana Diplomatic Passport ya Tanzania.


amezaliwa ndani ya parokia ya mwazye !!! ..nani wazazi wake ? jee yeye ni mfipa ? wakati huo white fathers ilianzisha mwanzye parish baada ya ile ya bagamoyo amabako ndipo ulianzia ukatoliki kwa kuanzisha mashule ya masista wa kiafrika na kuanzisha shule ya wanaume kutoka sehemu mbali mbali kama congo, ujiji, tabora na kwengineko....wale waliotoka Congo wengine walirudi makwao kutumikia makanisa huko...na wengine ....walibaki kwenye parish hii ya Mwanzye .
wengine kina pengo walibakia huko kusomeshwa na kuwa padri na akapanda cheo mpaka alipofika
...wazazi wake wote 2 wawili ni wacongo ndio maana anatajwa kuwa amezaliwa tu Mwanzye parish lakini hakuna mahali unaambiwa mama yake ni fulani na baba yake ni fulani
akiwa kuna tuhuma kwamba sio raia sio jambo geni kwa watanzania unatakiwa muje kuonesha ukweli..na kukanusha sio venginevo...hapa hakuna mfuasi wa slaa , kikwete , ponda au yoyote yule..hapa unapambana na fikra huru....
wakatoliki sio jambo geni kuwa na makadinali ndani ya nchi au mapadri ambao huja kuongoza mikusanyiko ya jumapili sehemu mbali mbali ..hapa tunao na sehemu nyengine wapo....ila china tu wao kwanza walikataa kuwa na m apadri kutoka nje....na pia walisema hata yule wa kichina basi atachaguliwa na wachina wenyewe na sio kutoka vatican...mpaka leo hali ndio hiooo na vatican wamenuna na wachina
 
amezaliwa ndani ya parokia ya mwazye !!! ..nani wazazi wake ? jee yeye ni mfipa ? wakati huo white fathers ilianzisha mwanzye parish baada ya ile ya bagamoyo amabako ndipo ulianzia ukatoliki kwa kuanzisha mashule ya masista wa kiafrika na kuanzisha shule ya wanaume kutoka sehemu mbali mbali kama congo, ujiji, tabora na kwengineko....wale waliotoka Congo wengine walirudi makwao kutumikia makanisa huko...na wengine ....walibaki kwenye parish hii ya Mwanzye .
wengine kina pengo walibakia huko kusomeshwa na kuwa padri na akapanda cheo mpaka alipofika
...wazazi wake wote 2 wawili ni wacongo ndio maana anatajwa kuwa amezaliwa tu Mwanzye parish lakini hakuna mahali unaambiwa mama yake ni fulani na baba yake ni fulani
akiwa kuna tuhuma kwamba sio raia sio jambo geni kwa watanzania unatakiwa muje kuonesha ukweli..
na kukanusha sio venginevo...hapa hakuna mfuasi wa slaa , kikwete , ponda au yoyote yule..hapa unapambana na fikra huru....
wakatoliki sio jambo geni kuwa na makadinali ndani ya nchi au mapadri ambao huja kuongoza mikusanyiko ya jumapili sehemu mbali mbali ..hapa tunao na sehemu nyengine wapo....ila china tu wao kwanza walikataa kuwa na m apadri kutoka nje....na pia walisema hata yule wa kichina basi atachaguliwa na wachina wenyewe na sio kutoka vatican...mpaka leo hali ndio hiooo na vatican wamenuna na wachina


.....Jamaniee, nisaidien b'se study yangu ngumu sana! nafanya utafiti juu ya koo za kizanzibar ila changamoto ni nyingi. Unaweza mkuta mmakonde aliyehamia zanzibar enzi hizo anajiita mzazibar kisa eti kavuka maji. Jibu sahihi ni mzazibari au mtanganyika? Wengine utasikia, Yakhe sis asili yetu bara! Eti nayo bara ni kabila?
 
Maleria ikipanda kichwani drip za Kwinini zinafanya kazi nzuri tu, lkn NJAA IKIPANDA KICHWANI, maafa!

Hata kwa ubongo wa namna hii, bado lawama kwa Dr. Ndalichako
 
Back
Top Bottom