Hivi Babu Seya hawezi kusamehewa?

Hivi Babu Seya hawezi kusamehewa?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Wakuu Leo nimemkumbuka sana babu Seya..

Nimekumbuka kesi yake ya ubakaji hivi waliobakwa wako wapi wazazi wao hawawezi kumsamehe kama ni kweli .

He Serikali kama inaweza kuwasamehe waahujumu uchumi kama Mramba na Yona inashindwa nini kumsamehe babu yetu kifungo chake mbona ni kikali sana?.

Mbona watu wengi wanasamehewa tu kwa Babu yetu kosa lake hasa ni lipi?.

Wanasheri mnisaidie lakini Mimi ninachojua kesi yake sio kesi ya kawaida.

Ningependa kama Serikali inaweza kuwaachia wahujumu uchumi inashindwa nini kumuachia Babu yetu.

Nimekumiss sana Babu Seya..
 
Mkuu hebu kuwa serious

Huyo jamaa ana kesi ya ulawiti wa watoto wetu..Tena anafaa aozee jela milele

Hilo kosa alilofanya halipaswi kuvumiliwa kwenye jamii yetu

Avune alichopanda

Na wewe kama unammisi babu seya mlawiti unatia shaka
 
Wakuu Leo nimemkumbuka sana babu Seya..

Nimekumbuka kesi yake ya ubakaji hivi waliobakwa wako wapi wazazi wao hawawezi kumsamehe kama ni kweli .

He Serikali kama inaweza kuwasamehe waahujumu uchumi kama Mramba na Yona inashindwa nini kumsamehe babu yetu kifungo chake mbona ni kikali sana?.

Mbona watu wengi wanasamehewa tu kwa Babu yetu kosa lake hasa ni lipi?.

Wanasheri mnisaidie lakini Mimi ninachojua kesi yake sio kesi ya kawaida.

Ningependa kama Serikali inaweza kuwaachia wahujumu uchumi inashindwa nini kumuachia Babu yetu.

Nimekumiss sana Babu Seya..
akiingia Lowasa madarakani mwaka 2050 atamsamehe huyo mlawiti na mbakaji.
 
Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!
 
Kesi ya wizi wa pesa inasameheka coz pesa inatafutwa lakini so heshima dignity ya mtu once destroyed haitakuja irudi na ndo sababu hatuwez kumsamehe babu seya

Af na wewe katika watu wote dunian hapa umekosa wa kummic mpk ukammic huyo mlawiti wa watoto.....
 
Lowassa tu ndo anweza samehe wabakaji na walawiti.

Si katika viongozi wanaofuata sheria.
 
Hiyo ni moja wapo ya Sera ya ukawa, kuwaachia huru wanaolawiti Watoto wadogo hata baada ya chombo huru kama mahakama kutoa maamuzi yake!

Chombo huru kama mahakama.........recall kesi ya Lema kisha sema tena
 
Mkuu hebu kuwa serious

Huyo jamaa ana kesi ya ulawiti wa watoto wetu..Tena anafaa aozee jela milele

Hilo kosa alilofanya halipaswi kuvumiliwa kwenye jamii yetu

Avune alichopanda

Na wewe kama unammisi babu seya mlawiti unatia shaka
Lakini wezi kama Yona ni sawa tu kuwaachia?
 
jaribu kuvaa uusika je wewe ndo ungekuwa mzazi.
afu wao mbona walibaka bila hata msamaha mana walikuwa wakitoa dozi tu kama malaria

afu huo ni uchochezi🙂 🙂 🙂 🙂 🙂
 
Unazungumzia Babu Seya tu au na wafungwa wote wenye kesi kama zake? Hivi unaweza ukasemehewa au kupunguziwa adhabu kwa sababu ya umaarufu wako?
 
Duniani hakuna haki kaka haki iko mbinguni,
Mungu ndiye anajua amempangia nini babu Seya km ni wa kutoka basi atatoka km ni wa kuozea jera basi ataozoea huko yote yamepangwa na Muumba
Mkuu ameshaexhaust remedies zote! Mpaka mahakama ya rufani imemtia hatiani! Maamuzi ya mahakama ya rufani huwa sio ya kubeza mkuu, ingawa nao ni binadamu ila wale wazee huwa wanatulia sana wakitoa maamuzi yao! Tuache siasa, hazina faida!
 
Lakini wezi kama Yona ni sawa tu kuwaachia?

Sio sahihi..Lakini kuachiwa kwa yona haku justfy kuachiwa kwa seya

Two wrongs does not make a right

Unapotaka kuelekea ni kupendekeza wafungwa wote waachiwe
 
Mkuu ameshaexhaust remedies zote! Mpaka mahakama ya rufani imemtia hatiani! Maamuzi ya mahakama ya rufani huwa sio ya kubeza mkuu, ingawa nao ni binadamu ila wale wazee huwa wanatulia sana wakitoa maamuzi yao! Tuache siasa, hazina faida!
yule mzee seya ana kosa..he did it....alifanya kosa...tatizo tunapenda sana siasa
 
Kesi ya wizi wa pesa inasameheka coz pesa inatafutwa lakini so heshima dignity ya mtu once destroyed haitakuja irudi na ndo sababu hatuwez kumsamehe babu seya

Af na wewe katika watu wote dunian hapa umekosa wa kummic mpk ukammic huyo mlawiti wa watoto.....
Nyimbo zake mkuu juzi nilikuwa club moja nyimbo zake kumbe bado zinapendwa sana zinapigwa club sana
 
Daaaa! umenikumbusha kibwagizo fulani
" vaa vizuri mpenzi wangu upendezee
Donge liwashike,mabusu moto moto
mimi nawewe mpaka kufaaa
Uuuuuuusiwasikilize hao wanaotaka kuharibu mapeeenzi yetu""
anyway Mungu ndio anajua kama kweli walifanya hicho kitendo,duniani ni ubatili mtupu
 
Back
Top Bottom