Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Jana kwenye taarifa ya habari ya saa 12 jioni nilisikia mtangazaji wao akisema '' mademu wawili wamefikishwa mahakamani mkoani Shinyanga kwa kosa la shambulio.........''. Hii lugha ya kihuni huwa inamlenga msikilizaji wa aina gani hasa? Hivi hii Radio ina mkuu wa vipindi kweli au kanyaga twende tu.