Ni sawa na kusema unajua JK kafanya nini pwani, au mengi kafanya nini kilimanjaro. swala ni kuwa hali ya kiumaskini kwa ujumla wake bukoba ni moja ya mkoa wenye watu maskini kupindukia,
Awe amejenga vyoo au amewawowa wengi.
Nijibu ulipotea jamvini kwenye thread ya hali ya umaskini kulikoni?ulishikwa pabaya??
Sasa hebu njoo kwenye takwimu za maambukizi ya ukimwi 17/18 hahahahahaaaaaa utapotea jumulaaa
[emoji23][emoji23]
We endelea kufurahishwa na takwimu zenu kila siku .
Tena siku kagera wameikamata kweli.
Kagera inaongoza kulima bangi
kagera inaongoza umaskin
Kagera inaongoza kutokuwa na vyoo
Kagera ni ya mwisho kwenye elimu.
Kagera inaongoza Kwa maralia
Kagera inaongoza kwa vifo vya mama na mtoto
Kagera inaongoza Kwa utapiamulo.
Kagera inaongoza Kwa lishe duni.
Kagera inaongoza Kwa kipindukipindu nchini
Kagera inaongoza Kwa umalaya nchini
Kagera inaongoza Kwa everything baya nchini.
Yaani kagera hakuna kitu kizr kabisa mpaka watu ni wabaya kabisa . everything in this region ni kiovu.
But watu wa kagera hatutaacha kusema ukweli daima.na kila mtu anafanya anachojisikia katika mkoa huu ndo maana uvuvi haramu,magendo hayataisha katika mkoa huu.
Maana wengi wanasema ya nini kuishi tz bila faida yoyote.
NB .endeleen kuponda sijui kusikiliza takwimu zao kwenye huu mkoa kila mtu anapambana na Hali yake