Unakumbuka mtu wa kwanza ku critisize uchumi wa Tanzania alikuwa yeye na akabaki salama..sasa kuna mtu kanifwata DM ananiambia kumbe kasoma na mzee baba Lao na anamjua nje ndaniLabda kama unamaana ingine,lakini sijaona chakumchukiza Jiwe kwenye hayo maelezo ya huyu Billionaire.
Labda utume hayo maelezo mengine uliyoyaona mpaka ukahisi Ally anajiamini sana kama ulivyo andika.
Nasikia kasoma na Baba Lao hapo mwanza?Wote wawili wako so bright .Mufuruki ana akili nyingi mno na Professor Assad Ana akili Sana Tena Sana tatizo lao moja tu kubwa they don't know how to get along with other people and don't have spirit of teamwork and team responsibity .May be it is due to their religious upbringing that teaches them to scorn others who are not of their faith as inferior.
But as far as I am concerned Ali Mfuruki is one of the few Tanzanians who have certified highest IQ.
Ameshasafiri sasa mnajua sabb mzimwage hapaMkuu siungemuuliza mwenyewe??
Kutojiamini unaona ndio jinsi ya kuishi? Mnatishwa kila kona na mnaona ndio sahihi?
2095 labdaYaani wanaccm mnataka tumchukie kila mtu...hiki mnachopanda kuna siku mtakivuna
Muda ukifika utajua nimemaanisha ninKujiamini unakupima vipi?
Muda utaongeaKupiga picha na former CAG ndio kujiamini?
Mkuu achana na washika pembe,ni watu wafitinishi sana. Wao kazi yao ni kuvutia upande mmoja ili wajulikane wapo wapewe chochote.Labda kama unamaana ingine,lakini sijaona chakumchukiza Jiwe kwenye hayo maelezo ya huyu Billionaire.
Labda utume hayo maelezo mengine uliyoyaona mpaka ukahisi Ally anajiamini sana kama ulivyo andika.
sidhani. na hakuna sababu. wakati magu akiwa waziri angefanyiwa nusu tu ya yale aliyofanyiwa mbowe angepatwa mazimu. kama ayubu mali yake yote ( bilicanas, media, maua, n.k) na mwili wake ( miezi mitatu mahabusi) mbowe vilitikiswa akaimarika zaidi. hamuogopi bali anamheshimu kama rais wake.Vipi mbowe amuogope !?
Hujajibu swali. Habari za muda kufika watu wanamsubiri Yesu arudi pia na muda hautafika arudi.Muda ukifika utajua nimemaanisha nin
Kusudi la ile picha tunalijua na litamcost....NIMEMALIZAHujajibu swali. Habari za muda kufika watu wanamsubiri Yesu arudi pia na muda hautafika arudi.
Tetea hoja, acha viroja.
USHAAMBIWA HUKO "MAGUFULI BABA LAO"sidhani. na hakuna sababu. wakati magu akiwa waziri angefanyiwa nusu tu ya yale aliyofanyiwa mbowe angepatwa mazimu. kama ayubu mali yake yote ( bilicanas, media, maua, n.k) na mwili wake ( miezi mitatu mahabusi) mbowe vilitikiswa akaimarika zaidi. hamuogopi bali anamheshimu kama rais wake.
Sijawahi kukuuliza kusudi la ile picha.Kusudi la ile picha tunalijua na litamcost....NIMEMALIZA
Nilitaka kuandika hichi ulichokisema.Sio rahisi intelligent people to get along well with the "below average minds".
Hukumbuki Gwajima alivyo mshambulia CAG Assad baada ya kuteuliwa na JK !?
Uhuru wa fikira ukitambua kuwa hatuishi milele hauwezi kumuogopa mtu.
umejaribu kujikuta msomi leo.Nimeeleza my concern .It is according to my own observation you can challenge it you are free.But according to my own observation high Islamic intelligent people feel comfortable to work with their fellow Muslims even if they are stupid whether they are their seniors or juniors!!! You can challenge me it is ok .
Mbona mbowe anakimbia uchaguzi anaogopa nnUhuru wa fikira ukitambua kuwa hatuishi milele hauwezi kumuogopa mtu.