Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Huwezi kujua kwa kuwa umeanza kufuatilia siasa awamu ya kikwete.

Either kwa kuwa ni mdogo sana kiumri ama wakati wa utawala wa mzee mwinyi ulikuwa kwenu huko mashambani nanjilinji ungejua wapi mambo ya siasa.

Kwa msaada tu tafuta uzi upo humu wenye kichwa cha habari "legacy ya rais ally hassan mwinyi" utajifunza mengi mno.
kuwa mashambani nanjilinji sio kosa wala dhambi aisee
 
Huyu ni moja ya watu wanaojiamini sana katika nchi hii

View attachment 1255730
Huyo Mfuruki,ni aina ya watanzania wanaohitajika sana hapa bongo,
Huyu jamaa,akiwa kijana,baada ya chuo,alikuwa na kazi ujerumani kwenye kiwanda cha kutengeneza Magari, BMW,
Aliacha kazi na kurudi nyumbani,akapata kazi serikalini, baada ya muda,akaacha hiyo kazi, na kuamua kufungua kampuni yake, sasa ni zaidi ya miaka 20,kampuni yake ya Infotech, inaendelea kushamiri. Hawa ndio wazalendo wa kweli!
 
Huyo Mfuruki,ni aina ya watanzania wanaohitajika sana hapa bongo,
Huyu jamaa,akiwa kijana,baada ya chuo,alikuwa na kazi ujerumani kwenye kiwanda cha kutengeneza Magari,BMW,
Aliacha kazi na kurudi nyumbani,akapata kazi serikalini,baada ya muda,akaacha hiyo kazi,na kuamua kufungua kampuni yake,sasa ni zaidi ya miaka 20,kampuni yake ya Infotech,inaendelea kushamiri.
Vilaza wa awamu hii,wakimsikia,mishuzi inawatoka tu.
Hawa ndio wazalendo wa kweli!
unaongelea infotech ya 2015 kurud nyuma au unaota
 
Kama tafsiri yako ya kujiamini na kutokuwa mwoga iko kwenye hiyo picha, basi wewe ni Mwoga sana, unaogopa hadi kivuli chako.
 
Levels baby:
Umeulizwa unajisikiaje baada ya kifo cha Ali Mufuruki, ukakimbilia " Kila nafsi itaonja kifo...".
Hilo sio jibu linalojitosheleza.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Levels baby:
Umeulizwa unajisikiaje baada ya kifo cha Ali Mufuruki, ukakimbilia " Kila nafsi itaonja kifo...".
Hilo sio jibu linalojitosheleza.
Marehemu hasemwi vibaya.ALLY kafanya mazuri yake ameenda
 
Back
Top Bottom