Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Hivi Ally Mufuruki kwanini anajiamini sana?

Haiwezekni kwakuwa CCM ndiyo imeanzisha BAKWATA , na shehe mkuu analindwa na TISS,na anakaa nyumba ya serikali.
Mtandao ni mpana sana, watabaki tu wakibwabwaja, ila nawaonea huruma maana hawajitambui kabisa.
Just imagine maKAFIR akina makonda ndio wanachangia msikiti, mtume hajakubali hiyo kitu,
Kuna MTU anaitwa Mohamedi Saidi, mwandishi mbishi awamu hii hasikiki, sijui mini kimemsibu?? Anasemaga waislamu ndo walileta Uhuru kutoka kwa mkoloni mzungu.

Haya sasa nawatuletee tena Uhuru wa pili kutoka kwa mkoloni mweusi CcM
 
Intelligence is also about knowing how to get along with people of high intelligence or low intelligence.

Is this also applicable to the introverts ??....

By the way most of intelligent guys i know dont get along really well with just ANYBODY...
 
Sio rahisi intelligent people to get along well with the "below average minds".
Like mzee Meko, aliyetuma masoja wakakusanye korosho akaambulia aibu ya karne!
 
[emoji23][emoji23]

We endelea kufurahishwa na takwimu zenu kila siku .

Tena siku kagera wameikamata kweli.


Kagera inaongoza kulima bangi
kagera inaongoza umaskin
Kagera inaongoza kutokuwa na vyoo
Kagera ni ya mwisho kwenye elimu.
Kagera inaongoza Kwa maralia
Kagera inaongoza kwa vifo vya mama na mtoto
Kagera inaongoza Kwa utapiamulo.
Kagera inaongoza Kwa lishe duni.
Kagera inaongoza Kwa kipindukipindu nchini
Kagera inaongoza Kwa umalaya nchini
Kagera inaongoza Kwa everything baya nchini.



Yaani kagera hakuna kitu kizr kabisa mpaka watu ni wabaya kabisa . everything in this region ni kiovu.


But watu wa kagera hatutaacha kusema ukweli daima.na kila mtu anafanya anachojisikia katika mkoa huu ndo maana uvuvi haramu,magendo hayataisha katika mkoa huu.

Maana wengi wanasema ya nini kuishi tz bila faida yoyote.




NB .endeleen kuponda sijui kusikiliza takwimu zao kwenye huu mkoa kila mtu anapambana na Hali yake


Tatizo wewe hata ukweli unaukataa, tena ukweli ulionyumbulishwa ki saysnsi we bado unakataa, kisa tu we bwenga.

Nenda kule kwenye uzi wa takwimu za umaskini utoe hoja uone utavyoshambuliwa kwa hoja zenye akili,
 
Mafuruki Yuko anasomeshwa no. Maduka yake ya Woolworth yalisomeshwa No. na TRA kipindi kichere akiwa boss wa TRA mpk Mafuruki akalalamika mitandaoni.

Mafuruki pia akiwa ni mmoja wa watu waliompigania sana Magu kwny uchaguzi akiwa bega kwa bega na wakina Maria Sarungi na Yule boss wa Twaweza aliyenyang’anywa passport.

Inshort bwn yule hana rafiki,wote waliompigania labda kasoro Che Nkapa ndo amemsitiri ila wengine karibu wote wanapitishwa Ubatizo wa moto.
Wengine walishiriki kabisa kumuibia ma-votes kama February, mwigulu na kinono ila sasa wanaishi kama wakimbizi..
 
Kuna MTU anaitwa Mohamedi Saidi, mwandishi mbishi awamu hii hasikiki, sijui mini kimemsibu?? Anasemaga waislamu ndo walileta Uhuru kutoka kwa mkoloni mzungu.

Haya sasa nawatuletee tena Uhuru wa pili kutoka kwa mkoloni mweusi CcM
Mi nakubaliana na Mohamed Said, kwasababu hata mandamano yaliisha baada ya waislam kujitoa kwenye siasa zile za CUF ngangari.

Siku hizi maandamano yakitangazwa barabara ndio zinakuwa safiii huoni mtu.
 
Nimeeleza my concern .It is according to my own observation you can challenge it you are free.But according to my own observation high Islamic intelligent people feel comfortable to work with their fellow Muslims even if they are stupid whether they are their seniors or juniors!!! You can challenge me it is ok .
Mara nyingi mbaguzi hudhani kua watu wote ni wabaguzi kama yeye,
Hope umenielewa.
 
Is this also applicable to the introverts ??....

By the way most of intelligent guys i know dont get along really well with just ANYBODY...
It depends .But an intelligent bussinessman must get along with people for his products or services to be sold!!!!!!
 
Wenye IQ kubwa wamekutana. These Guys are very special upstairs. Mufuruki yeye aliamua kuwa mjasiriamali au nisema Mfanyabiashara toka akiwa na umri wa ujana kabisa. Aliajiriwa kwa muda mfupi tu then he made his mind to quit na kuamua kuwa mwajiri na kujiajiri. He is among the Wealthiest people in Tanzania.

Kukutana Aiport na kuchangamkiana ni jambo la kawaida. Ila pia kwa level yao kiumri na mengine ni watu ambayo are in the same circle so hatuwezi kushangaa.

Binafsi nikikutana na Prof. Assad ni lazima nimwombe tukae tupate kahawa kidogo na kupeana mawili matatu. Japo htuna connections directly but nikimkumbusha historia hatakuwa na mashaka na mimi. Kama ni mbaya kwa wengine kwangu si mbaya. Ninamheshimu kwa nidhamu yake na utendaji wake na itabaki hivyo milele. Mind you I am a Christian and he is a Moslem.
Ally Mufufuki lazima ajiamini maana ana pesa na kipato chake ni cha halali siku zote, hana makandokando.
 
It depends .But an intelligent bussinessman must get along with people for his products or services to be sold!!!!!!

Are you in a business industry ???.....

How on earth can a CEO just get along with anybody for his products to get sold and whats going to be a use of communication, PR, sales and marketing department ??...

In a real business world hao top guys hutafuta connections ambazo ni kubwa sana and they cant meet just ANYBODY
 
How on earth can a CEO just get along with anybody for his products to get sold and whats going to be a use of communication, PR, sales and marketing department ??...
For Most intelligent Muslims CEOs for them to.be comfortable those departments must be filled with their fellow Muslims even if they are stupid they can't get along with others of other faith. Who are in those departments

Biggest problem with Intelligent Muslims is how to get along with other people who are not Muslims.It is very hard for them to be compatible.
 
Yaani jinsi mawe alivyoogopesha wanadamu TZ ni hata watu wanaojuana wakikutana wasisalimiane?

Tanzania hatujawahi fika huko!

Upumbavu wa mtu mmoja usifanye hadi ndugu wanaotoka sehemu moja eti wasisalimiane au kujuliana hali kisa mtu fulani ataona!

Wivu wa kike huo na ni mbaya sana!

Atakufa yeye awaache akina Mufuruki wanaishi kwa amani mioyoni!
umenifumbua macho. nilishindwa kuoanisha mada na picha. anajiamini kwa kupenda asiyependwa na magu! anajiamini sana. wabunge wa ccm wasiende kumwona lema gerezani, hawakumtembelea sugu, hawakumjulia hali tundu lissu pale nairobi acha mbali ubelgiji, binti bulembo viti maalum ccm asichumbiwe na barubaru mpinzani lakini wa sadc waoe tanzania kuna visura!
nilisoma: prof. kahamba aongea mbele ya magu bila woga. sikuelewa. mwandishi alitarajia prof atetemeke au iweje! kiumri magu mdogo, kiakili kichuguu mbele ya mlima. magu anajua siku ya ajali, kichwa chake kitakuwa doli la prof. labda tu kwa wale watukanao wakunga wakati bado wanazaa. magu hamtetemeshi prof anayejitambua, asiyekaa jalalani kama kabundi kalamagamba! neurosurgeon aone woga kwa nini?
 
For Most intelligent Muslims CEOs for them to.be comfortable those departments must be filled with their fellow Muslims even if they are stupid they can't get along with others of other faith. Who are in those departments

Biggest problem with Intelligent Muslims is how to get along with other people who are not Muslims.It is very hard for them.to be compatible.

Its not about incompitibility but their solidarity towards their social group which we can term as Udini (not all of them thou).. There are also many people of some tribes who always do the same and they still sell their products perfectly. Tanzanians are not that social conscious
 
umenifumbua macho. nilishindwa kuoanisha mada na picha. anajiamini kwa kupenda asiyependwa na magu! anajiamini sana. wabunge wa ccm wasiende kumwona lema gerezani, hawakumtembelea sugu, hawakumjulia hali tundu lissu pale nairobi acha mbali ubelgiji, binti bulembo viti maalum ccm asichumbiwe na barubaru mpinzani lakini wa sadc waoe tanzania kuna visura!
nilisoma: prof. kahamba aongea mbele ya magu bila woga. sikuelewa. mwandishi alitarajia prof atetemeke au iweje! kiumri magu mdogo, kiakili kichuguu mbele ya mlima. magu anajua siku ya ajali, kichwa chake kitakuwa doli la prof. labda tu kwa wale watukanao wakunga wakati bado wanazaa. magu hamtetemeshi prof anayejitambua, asiyekaa jalalani kama kabundi kalamagamba! neurosurgeon aone woga kwa nini?
Vipi mbowe amuogope !?
 
Woga ukifika mwisho utengeneza watu wenye mioyo migumu kuliko unavyofikiri, any way hata wale wanaojitoa muhanga kuna hali fulani iliyowafikisha hapo.Jambo moja nililojifunza kipindi hiki ni kwamba :
1.Yawwzekana UISLAMU ni dini bora hapa duniani,
2.Sisi wakristo ni wanafiki sana,
3.Inawezekana kama waislamu wangekuwa SUPERPOWER dunia ingekuwa salama zaidi.
Uadilifu umo ndani ya Qur'an.
 
Back
Top Bottom