Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 853
hata sijui kama unafahamu nini maana ya democracy hata uite wengine vichaa..just be a great thinkerLabda vichaa ndio wachague
hata sijui kama unafahamu nini maana ya democracy hata uite wengine vichaa..just be a great thinkerLabda vichaa ndio wachague
Upinzani wa dhati upi mkuu wenye jeshi la polisi auwatu hawawezi kuacha kuichagua ccm kwa sababu ya post yako hii ya kijinga! wataacha kuichagua ccm endapo tu utatokea upinzani wenye nia ya dhati ya kuondoa umaskini wa watanzania, Leo hii upinzani una wagombea ambao walikuwamo ccm miaka zaidi ya 30 na hakuna jipya!
Vipi ushapata mrejesho wangapi watachagua ccm teh teh tehFanya sasa tathimini kwa waliochangia upate majibu ya swali lako, na utoe marejesho.
Kuwa great thinker mtuu haamui ni uwezo automatically c umeona mwenyewe uwezo wako ulivyo mdogo coz huwez kuwa, asantehata sijui kama unafahamu nini maana ya democracy hata uite wengine vichaa..just be a great thinker
2020. 75%. Hamkumbuki Mkapa alipata 61% 1995 na 71% 2000?? Mmeshasahau??2005; 80%
2010; 62%
2015; 58%
2020; ??%
??% = what? Jaza mwenyewe. Na hiyo hesabu hapo juu ni pamoja na wizi wa kura, matumizi ya vyombo vya dola, udhibiti wa media na uchafu wote. Lakini graph ilikuwa inachuka kwa kasi sana.
Sasa hiyo ??% toa za ulaji wa rambi rambi, lugha ya matusi kwa wapiga kura, uchumi mbovu, vijana kushindwa kusoma kwa kukosa msaada wa mikopo, njaa na kunyimwa chakula kwa vile ukame haukuletwa na ccm na mazagazaga mengine.
Hakika hiyo ??% yaweza kuwa 35%. Na kama wizi ukidhibitiwa ni 29%. Tume huru ya uchaguzi ikifanikiwa kuwepo hapo ndio funga kazi maana hiyo ??% itakuwa 11.7% sawa na kura za Lipumba kipenzi chenu.
Mnatumia umbumbumbu wa masikini wa vijijini kama mtaji wenu. Subirini tu waelimikekama kura zitapigiwa jf basi watanzania hawatoichagua lakini kama sivyo basi utajionea mwenyewe kwenye sanduku la kura
Sasa mtu kama huyu utamuita ana akili timamu!?Mkianzisha nyuzi muanze kutafakari kwanza kabla ya kuandika chochote. Kila nukta utakayoipitia ijadili kwa kina uandike. Hiv unadhani ndege zilinunuliwa ili hali hakuna dawa? Ajira zipi zilizozuiwa watu wasiajiriwe, kiongozi yupi aliefanyiwa kisasi? Mnyonge gani aliefanyiwa dhihaka! Tafakari kwanza usikurupuke kuninukuu halafu nitakuambia kimoja baada ya kingine utaelewa
Ingekuwa wao ungesikia 'oooooh njaa mbaya' sasa sijui uku tuseme nini
Mtaiba kura tuMtaichagua tu