Jamanii jamani....
Naamini bado unanipenda. Na siku moja utarudi na kuwa wangu tena.
Me nasema inshaalah[emoji120][emoji120]
AmenAsante my lady na kwako pia, Mungu akutangulie katika njia zako.
AsanteeEndelea kubaki tu ila angalia usije jikuta unaondoka na 7800
Me sijambo kigori.Jamanii jamani...
Habari za wewe eti
Hivi kweli unanipenda?!Me sijambo kigori.
Bado hujafutika moyoni mwangu kigori.
Jamanii jamaniSo, ndio umeamua iwe hivi?
[emoji24][emoji24]sawa tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee mama ..miss HR, mabaharia tunaeza kata ata mwezi tukaoga Mara moja tu au mbili hivi..mumeo sio baharia???
Naanza na wewe ajuza
Mwenyekiti wa mabahariaJf bhana
Fundi maiko ndio nani?
Aisee hapo umekoroga mkuuMarufuku Baharia kukaa miguu juu huku ukiperuzi jf.
Hana jeuri hiyo yemwenyewe baharia [emoji22][emoji22]Halafu Makonda anasema atawakomesha 'mabaharia'. Hivi atawaweza kweli!!!!