Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,143
- 6,784
Mkuu hii misemo tu huja na kuondoka kama kelele za mlango. Isikupe taabu, wenyewe wanajipa raha kwa haya.Kikawaida mimi huwa sibebwi na mawimbi ya vimisemo vya ajabu ajabu vya msimu...huwezi nikuta natumia hii misemo kwenye mdomo wangu..
Sijui....KAMA LOTE....WATAPATA TABU SANA...etc
Na sasa naona kila mahalî BAHARIA...