impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,844
- 7,904
Safi sanaTafuta nakala mkuuView attachment 1202651
Safi sanaTafuta nakala mkuuView attachment 1202651
Hapo safi sanaMabaharia ni wazalendo wote ambao sio mazuzu wa ccm
Fundi maiko yupo jf?Nafikiri ungepata namba ya fundi maiko ungeelewa zaidi maana yeye ndio mwenyekiti wa Chamata kanda maalum ya Dar
Lakini nadhani kwa sasa kuna kitu wanakilenga si bure vijana wengi hivi sasa wanajiita mabaharia na kuitana hivoKazi iliyokuja kuheshimika sana Tanzania na Zanzibar katika miaka ya 60 mwishoni na mwanzoni mwa miaka ya 70 ilikuwa Ubaharia. Baharia enzi hizo alikuwa mtu mwenye pesa za kigeni za kutosha, alivaa mavazi ya bei ghali na mavazi adimu yaliyokuwa yanalingana na wakati kwa kujilinganisha na Uingereza. Vijana wengi walitamani sana kuipata nafasi ya kuajiriwa kwenye meli yoyote inayotia nanga Dar es salaam na wakati mwingine pale Ferry-Posta ya zamani ilikuwa mahali maarumu ambapo vijana walikuwa wanavizia meli za kuzamia. Kila aliyekataa kwenda shule.... alijiita Baharia bwana!.
Hhhhhhhhhhh!!!!!!Baharia ni mwanaume anayeweza kudai deni kwa mwanamke.
Wewe si Baharia maana nasikia huwezi kumdai mwanamke
Mmmmm hapa naona kama haupo sawa maana vijana wengi tena vijiweni ndio hujiita mabaharia hawana hata familiaBaharia ni mwanaume mjanja, makini mwenye uwezo wa hali ya juu kihudumia familia yake na kila kitu anachohitaji mwanamke kama kihondomola nk.
Hii ina mantikiMabaharia ni watu wa kanjanja michongo na deals ili aweze kuishi. Ukimuingia vibaya baharia lazima akupige. Msanii fulani kuonekana mtu wa hadhi fulani na connection nyingi za hela kama vile madalari wa issues zenye maslahi
Kichwa kichafu kwa hiyo kaseja ni baharia??,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukimfahamu Huyu Aliyeiokoa Taifa Stars Jana Utajua Nini Maana Ya BahariaView attachment 1202687
Haha aisee baharia kweliMoja ya sifa ya Mabaharia.View attachment 1202707
Upo..Ina maana wale Me ambao huwa naona humu munajiita mabaharia huwa hamjui maana. 😳
Aisee sasa huyu si iachafua sifa ya mabahariakumbe fundi maiko nae ni baharia!![emoji23][emoji23]View attachment 1202709
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee mama ..miss HR, mabaharia tunaeza kata ata mwezi tukaoga Mara moja tu au mbili hivi..mumeo sio baharia???Ok, bora maana hapo juu nimeona mbaharia hawaogi wiki mbili sasa i was trying to think
Mimi sibadiliki nini tena umeniacha njia panda
Kabisa baba wanaume wengi wanaojiita mabaharia ni vijana wa mtaani tu wahuni walioshindikana wanaume wanaojiheshimu na wanaojielewa hawawezi kukubali japo kuitwa tu mabaharia achilia mbali kujiita wenyewe
Huyu mimi kabisaBaharia wa kike akiwa ghetto kwakeView attachment 1203076