EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Uwe mzee wa Hit & run
JoblessWakubwa naona kuna kundi la watu wengi wanajiita mabaharia hasa wa kiumeni. Sasa naomba kujuzwa ili uwe baharia unatakiwa uweje?
Na je mabinti pia wanaweza kuwa mabaharia?
UsijaliAkikujibu nistue.
Majukumu ya familia yamenibana mkuuHii ni dhahiri we ni mtoro wa kikao
tunawapa 7800 na sweta LA Tanzania