Hili nalo litapita kama mengine
Ila litachukua muda
Hili nalo litapita kama mengine
Vipi wewe eti my dearAsante kusikia u mzima my lady.
Hili nalo litapita kama mengine
November haifikiIla litachukua muda
Ukinunulia ticket sitakataa kuja huko UlayaIla mkitembea na kuja ulaya mtajua. Pensi sio sehemu ya nguo inayoonyesha ujana au uzee. Ni Hali ya hewa na comfortability. Kuna nguo za vijana ndio ambazo hata wazee wa ulaya hawavai ila tofauti ni ndogo sana. Suruali pia huvaliwa sana na wanawake. Na huku wapp watu 90,80,70, 60 wanapiga tu na wala sio issue. Waafrika tunapenda kukataa umri sijui kwanini. Kila mtu anaanza utoto na atazeeka. La msingi heshima. Kila mtu atavuna anachofanya.
jamani nitoeni ushamba isee haka kamsemo naona kameshika trend sana hizi week kadhaa...
Hivi huyu baharia ndo MTU waiaina gani?? Najua kuna wengine kama mm wanatamani kumjua huyu baharia!!
NakataaaNovember haifiki
Kikawaida mimi huwa sibebwi na mawimbi ya vimisemo vya ajabu ajabu vya msimu...huwezi nikuta natumia hii misemo kwenye mdomo wangu..
Sijui....KAMA LOTE....WATAPATA TABU SANA...etc
Na sasa naona kila mahalî BAHARIA...
TupingeNakataaa
Can't wait!😁Usikonde soon chama lenu la mamaharia linaanzishwa
Slangs..Bongo Kuna vimaneno huwa vinatokeaga na vina trend kiajabuajabu eti"baharia""baharia"
Ova