Historia ya neno Msela na Baharia

Historia ya neno Msela na Baharia

Uanachama twaombea wapi nataka nijiunge
Fika ofis ya makao makuu
tapatalk_1566936620377.jpeg
 
Wewe umeona wazee wangapi wa 60+ wanakatiza mjini na pence?

Ila mkitembea na kuja ulaya mtajua. Pensi sio sehemu ya nguo inayoonyesha ujana au uzee. Ni Hali ya hewa na comfortability. Kuna nguo za vijana ndio ambazo hata wazee wa ulaya hawavai ila tofauti ni ndogo sana. Suruali pia huvaliwa sana na wanawake. Na huku wapp watu 90,80,70, 60 wanapiga tu na wala sio issue. Waafrika tunapenda kukataa umri sijui kwanini. Kila mtu anaanza utoto na atazeeka. La msingi heshima. Kila mtu atavuna anachofanya.
 
Ni marufuku baharia kulala uchi. Baharia unatakiwa ulale na nguo zisizopungua 13.
Ni marufuku Bavaria kuangalia tamfilia.
Ni marufuku baharia kutandika kitanda.
Ni marufuku baharia kula chipsi au kunywa Pepsi.
Ni marufuku baharia kushabikia Yanga au Arsenal.
Ni marufuku baharia kupayuka payuka ovyo.
Ni marufuku baharia KUHONGA bila kuwa na malengo.
Ni marufuku baharia kumwandikia demu maseji na kuanza na neno "samahani" au "sorry" huu ni udhaifu mkubwa.
Ni marufuku baharia kutumia neno "mambo" au kuitikia "poa"

Ni marufuku baharia daah....'
Baharia unashabikia arsenal na yanga timu za wagumu sio Simba watoto walaini kama kina Manula.......[emoji2]
 
Changamoto mpya zinaibuka kila iitwapo leo majimboni. Njooni tuzijadili na namna ya kukabiliana nazo.

AGENDA:
1. Ufunguzi wa kikao (tayari kishafunguliwa na M/kiti-Taifa)
2. Marejeo ya kikao kilichopita
3. Changamoto mpya majimboni. Hapa kila baharia ahainishe changamoto mpya zilizoibuka jimboni au majimboni mwake ili tutafute ufumbuzi wa pamoja.
4. Mengineyo
5. Kufunga kikao.
Tunaomba utulivu wakati wa kikao, na michango iwe mifupi inayoeleweka.
Wenu;
-Mwenyekiti wa Zamu.
 
Back
Top Bottom