Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
Nakupenda zaidi dearHalafu wewe dada me nakupenda bure walaqhi tena!!
Nakupenda zaidi dearHalafu wewe dada me nakupenda bure walaqhi tena!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora unibadilishie lugha tu maana naona hii hatuendi sambamba
Acha ufala unatakiwa ukija humu teyar manzi Kesha taka kuolewa teyar yaaan ushatibua vinyweleo mpaka maji kaita mmaaaaOyaa mabahari kwema?
Kuna afisa manunuzi kazini anaonyesha dalili za kunipenda. Ni mkubwa kidogo kwangu au tunawiana kwa umri.
Akija ofisini kwetu akinikuta nipo na masela ananichangamkia sana na kuniachia pesa then anasepa.
Akija akinikuta nipo na mdada hanichangamkii na hajawahi kunipa pesa pindi anaponikuta nimekaa na mdada wadada.
Kuna jamaa nasikia kamjengea nyumba huyu afisa kabla hajawa na vichenji. Sasa ni zilipendwa ila wanakumbushia enzi inaonyesha mara moja moja.
Vipi nimfungukie au nimpotezee?
Kwahiyo inabidi nimpelekee moto mpaka asahau jina lake?Acha ufala unatakiwa ukija humu teyar manzi Kesha taka kuolewa teyar yaaan ushatibua vinyweleo mpaka maji kaita mmaaaa
Bora twende na hiyo naweza hata kunyaka nyaka mawili matatu😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe leo unataka kiTrump??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora twende na hiyo naweza hata kunyaka nyaka mawili matatu[emoji23]
Sasa naomba maelezo ya title " Mimi sio baharia na sijawai kuwa baharia na sitakuja kuwa baharia ila niwaambie tu wadada wa jf"Kumbe ameleta hadi sreen shots, mwanzo hazikuwepo
Me chenga tupu Leo 😂Hata wewe umeelewa
Eti nieleeeshe dadaaKumbe ameleta hadi sreen shots, mwanzo hazikuwepo
Hilo tatizo ndo ameliweka kwenye screen shotSasa naomba maelezo ya title " Mimi sio baharia na sijawai kuwa baharia na sitakuja kuwa baharia ila niwaambie tu wadada wa jf"
Sasa hayo tuliyoambiwa me ndio nayataka au sio mwenzangu SweetieLee ?
Hujaenda kanisani ndo maanaMe chenga tupu Leo [emoji23]