Historia ya Mombasa na makabila yake

Historia ya Mombasa na makabila yake

Asante na naendelea kujifunza kitu, haswa kwamba Kenya tuna umiliki mkubwa wa Kiswahili, lakini hebu nipe elimu mbona ikawa kimekopa sana maneno ya msingi kutoka lugha zingine, kwa mfano tu neno "damu", ina maana Waswahili hawakua na neno mbadala.
 
Asante na naendelea kujifunza kitu, haswa kwamba Kenya tuna umiliki mkubwa wa Kiswahili, lakini hebu nipe elimu mbona ikawa kimekopa sana maneno ya msingi kutoka lugha zingine, kwa mfano tu neno "damu", ina maana Waswahili hawakua na neno mbadala.

Waswahili walikuwa na tabia ya kukopakopa halafu wakaja wengi wanaojifanya ndo waswahili wakajaza maneno ya kwao.
Kwa Kingozi ( Kiswahili kikongwe) neno lilikuwa likitumika badala ya 'damu' ni NGEU.
 
Hivi Mwarabu mweusi bi FaizaFoxy hajauona huu uzi?
 
Last edited by a moderator:
Nimeuona na nnajifunza mengi sana.

Asante dadangu, Kiswahili kilikuwepo kabla ya Waarabu kuingia Pwani ya Afrika Mashariki, Wabantu walikuwa wanajua kuhesabu, walikuwa wanapeana majina na sio haya ya Mohammed, Said, waliwapa Wanyama wote Majina , kwa Ufupi Waarabu walikuta kuna Lugha iliyokamilika,

Maneno karibu yote ya Kibantu yaliyo ndani ya Kiswahili unayapata ndani ya Lugha ya Kishona ya Zimbabwe, Lingala ya DRC nk
 
Waswahili walikuwa na tabia ya kukopakopa halafu wakaja wengi wanaojifanya ndo waswahili wakajaza maneno ya kwao.
Kwa Kingozi ( Kiswahili kikongwe) neno lilikuwa likitumika badala ya 'damu' ni NGEU.

Ningependa kufuatilia hicho Kingozi ambacho unasema ndio Kiswahili kikongwe, taarifa zaidi ziko wapi.
 
Asante dadangu, Kiswahili kilikuwepo kabla ya Waarabu kuingia Pwani ya Afrika Mashariki, Wabantu walikuwa wanajua kuhesabu, walikuwa wanapeana majina na sio haya ya Mohammed, Said, waliwapa Wanyama wote Majina , kwa Ufupi Waarabu walikuta kuna Lugha iliyokamilika,

Maneno karibu yote ya Kibantu yaliyo ndani ya Kiswahili unayapata ndani ya Lugha ya Kishona ya Zimbabwe, Lingala ya DRC nk

Usichanganye kati ya Kiswahili na Kimvita.
 
Wewe ndiyo umeanza unajifanya kutoa darsa nakushauri kuwa msomaji tu utajifunza mengi.

kutoa Darsa gani kaka, we ukweli uoni? Anyway naona Waarabu weusi mumeitana
 
Waarabu walikulisha nini kiasi hupendi kuskia wakitajwa sehemu, kwako wewe kuwatetea kila siku hakubadilishi chochote.

Ewe nyang'au, hapa kuna Mwarabu nimemtaja:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Usichanganye kati ya Kiswahili na Kimvita.



 
Santa wanajamvi. Tuliendeleze mada ili tujifunze zaidi. Leteni habari mpya na maswali
 
Natoa shukuran kwa mm ni mdigo nimekulia mosh kilimanjaro hvy sijui lolote kuhusu kabila langu naomba kujua mila destur za kidigo na baadh ya maneno ya kiswahili kwa asili yake
 
Back
Top Bottom