Historia ya maisha yangu

Ila kuachwa kuachwa ni shughuli pevu mbaya zaidi kwa yule uliyempenda
 
Aisee
 
Tunaomba mrejesho mfipa mwenzangu mbna saizi kimya vipi babu hajafanikiwa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kusoma ni Jambo lingine kua na maarifa namna yakuishi ni Jambo lingine pia.
 
Tunaomba mrejesho mfipa mwenzangu mbna saizi kimya vipi babu hajafanikiwa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kusoma ni Jambo lingine kua na maarifa namna yakuishi ni Jambo lingine pia.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....
 
Tunaomba mrejesho mfipa mwenzangu mbna saizi kimya vipi babu hajafanikiwa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kusoma ni Jambo lingine kua na maarifa namna yakuishi ni Jambo lingine pia.
Kazi inaendelea kimya kimya,tushampigw kombola moja,kumbuka lengo ni arudi zero so unaenda mdogomdogo🙅tumeanza na gari yake ya mjapani🤣🤣
 
Acha ujinga wewe,katavi haidanganyi 🙏,tukimkosa huko tunampata nakonde,ngoma haivuki mpaka ,ikishindikana nakonde nasalimu amri🙅
 
Ngoma si ya siku moja,Kama nilivyompandisha mdogomdogo ndo anashuka hivyohivyo🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…