Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Jamani Kama mwigulu ana tuhuma zote mnazozitaja,mnasubiri nini kumfikisha mahakamani?
 
Siku zote ogopa sana mtu fukara akipata madaraka au uongozi...hugeuka na mtu wa hatari sana.
 
huyu jamaa anaroho mbaya sana sidhani kama anandugu huko kijijini kwao.

huyu hata akifa asizikwe, afungwe aburuzwe kwanza mitaani kama Savimbi.!

anatia kinyaa sana, sidhani kama ni mtanzania halisi.!
eti ana roho mbaya,watu bana,kwa taarifa yako savimbi hajavurutwa mtaani ,naona una pressure sana .una interest gani kwenye kesi hii?
 
Katika watu ambao wataleta machafuko hapa nchini nadhani huyu ni mmojawapo. Kauli zake mbaya sana kwa mustakabali wa Amani ya Nchi ya Tanzania. Yuko tayari watu wachafukwe, wachapane, ili kulinda maslahi yake binafsi ya kisiasa na chama chake CCM. na asipoonywa mapema anaweza kufanikiwa katika lengo lake hilo! Maneno anayoongea mara nyingi yanatia Hasira sana!!!
kwahiyo ulitaka mwigulu afanyaje?..ulitaka akae kimya wakati kina lema wanapotosha eti rais ni mdini bila kuweka evidence?lini kikwete kafanya mikutano ya ndani na viongozi wa dini?.

Slaa alitumiwa kujuana kwake na maaskofu kuwashawishi wawambie wafuasi wake wampigie kura ndo maana hata jk alilalamika kwenye hotuba yake ya mwisho wa mwezi 31 oktoba 2010.
 
Huyu ..nge ana ugonjwa ule "maskini akipata ma..ko hulia mbwata"Nipeni pole kwani leo amesababisha nimevunja tv yangu kwa hasira na kila ninapoiona picha yake ni lazima niipige au niitemee mate
 
Mwigulu= wabunge wote wa chadema,Mwigulu ni jembe kuanzia shuleni hadi mjengoni! Nenda idara ya uchumi udsm utapata taarifa zote nzuri khs mwigulu! Chadema walivyo na akili za kuungaunga wanamchukia sana huyu jamaa,tulieni dawa iwaingie na mtakoma,bichwa matope! Kila siku mwigulu,mwigulu,mwigulu,haya muda si mrefu atawaoa na kuwatia mimba wote,chezea mwigulu wewe
 
mwigulu kawakamata pabaya. ukiona wanaume wazima kila siku kutaja mwanaume mwenzao ujue amewafanya vibaya.

ccm zalisha vimwigulu vingi ili viwashughulikie magaidi.

mpeni saanane sumu ya panya apeleke kwa mwigulu.
 
Binafsi kusikia jina la Mwigulu ilikua mwaka 2010,nilikutana na rafiki yangu mmoja mfanyakazi wa BOT tawi la Arusha ambaye alinielezea kwamba kuna wafanyakazi 3 wa BOT tawi la Arusha wamechaguliwa ktk kura za maoni za CCM kugombea ubunge ktk majimbo mbalimbali. Akanitanijia jina la Mwigulu kwamba atagombea jimbo moja huko Singida! Jambo lililonistua ni pale aliniambia atapata tu ubunge kwasababu anazo pesa nyingi! Akaendelea kumsifia kwamba ni mchumi mahiri! Baada ya kuingia bungeni,niliendelea kufuatilia michango lakini hakunivutia kutokana na sifa nilizosikia mwanzo. Ktk kikao cha bajeti cha mwaka jana,aliporusha chini kitabu cha bajeti ya upinzani ndipo nilitambua kwamba jamaa alikua bado ni mjima,hasiye fanya mambo kulingana na hadhi yake na wakati! Baadaye ni tuhuma za mauaji na mambo mengi ya kishenzi. Kwa maoni yangu Mwigulu ni mzigo,ni msalaba ambao CCM ya enzi ya Mwal. Nyerere ingekwisha utua! Siku si-nyingi CCM itatambua maneno yangu!
 
huyu jamaa anaroho mbaya sana sidhani kama anandugu huko kijijini kwao.

huyu hata akifa asizikwe, afungwe aburuzwe kwanza mitaani kama Savimbi.!

anatia kinyaa sana, sidhani kama ni mtanzania halisi.!
Humjui mwigulu. Ni mtu mwenye roho nzuri. Ana huruma. Ndiyo maana humpa hela kila mtu anayekutana naye njiani. Hajajenga ila analipa ada ya zaidi ya watoto 200. Tumzushie lingine. Nimjuavyo ni mtu wa msimamo mkali kwa kitu anachoamini
 
Akili huna zile za kuchambua mabaya na mazuli ni kwamba ndugu yako mwigulu ni kichaa hafai kwawatanzania, nimesema kuwa ni mropokaji binafsi yeye mwenyewe hajui kujenga hoja anakalilishwa vipande vya maneno ya kusema mjengoni mbumbumbuuuuu!!!! hana jipya mpuuzi.
 
Jina sahihi la huyu mwigizaji ni lipi? Mwigulu Nchemba ni jina la kisukuma na yeye ni mnyiramba au hilo ndio jina la kisanii ndo maana usanii mtupu kila sehemu... mimi namsihi arudie jina lake halisi la Lameck Mkumbo kama anataka kutumikia jamii na sio usanii huu anaotufanyia...
Duh, jamaa noma kweli; hata mimi nilikua naona kama msukuma vile. Ila kama ndio hivyo kadandia tu jina lakini hajafake vyeti.
 
Enzi zetu zile za Mwalimu majina kama haya yalikuwapo tele, tuliyaita majina ya "Makweta" kutokana na Jackson Makweta aliyekuwa waziri wa elimu enzi hizo.

Kulikuwa na wakristo wenye majina yote ya kiislam kama wazanzibari, nakumbuka kuna mwenyekiti wa Ukwata alikuwa anaitwa Hussein Ramadhani Ally, mimi nilisoma na Prosper Valentin (mwislamu huyu) halafu kulikuwa na wachagga kibao wenye majina ya kiiraqw.

Nafikiri kama huyo mwenye jina lake halisi hajalalamika, tuiache hii ishu kama ilivyo maana ina historia ndefu ambayo kama haijaathiri kitu hakuna sababu ya kuichokonoa.
Kwa hili funika kombe mwanaharamu apite maana wateja wake wengi...Au sio?
 
kumbe wenye historia ya kufeli ndo hupewa nafasi CCM? Angalia Lukuvi, Mulugo na wengine wengi......... nenda BoT uangalie majina ya ndugu ama watoto wa vigogo ndo utajua hili ninalokwambia...... mtoto wa mmoja wa mawaziri wa elimu serikali ya Mkapa alipatikana na cheti cha kughushi.
Siku zao zinahesabika!
 
Mama Porojo usinichokonoe kwa porojo zake, nitakutolea uvivu.

CIA walikuwa wanamfahamu Osama bi Laden in and out, je CIA walikuwa wajomba zake Osama?

Yaani kwa akili zako unafikiri kumfahamu mtu basi lazima uwe mjomba wake? Kweli wewe ni mmojawapo unayefikiri kwa kutumia kile kiungo alichokitaja Didas Masaburi na inaelekea hicho kiungo chako ni KIKUBWA!

kwa hapa mnajitahidi! kwani kubwatuka matusi hata mbele za mama zenu kwenu ni vyeo tu.
 
Mwigulu ni nyota ya mchezo anatisha kwa data Yule anaushahidi kwa kila anachokisema tusche itikadi yupo kitaifa zaidi Kama Zito
 
mbisi zi mpipa luta teka hein ! , hehehehein?
malafu ma mpipa luta teka hein !, hehehehein?
mimpuka mi mpipa luta teka hein !, hehehehein?
suni mi bantu luta mina hein!, hehehehein?
makasu ma mpipa luta caba hein !, hehehehein?
yema mpudisi ma mpipa mame !, heheheheinhehehehein?


sasa hii lugha gani??? ndio unaimba auuu???
 
Back
Top Bottom