William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,792
- 2,421
Si jambo zuri kwa watanzania kuulizana makabira. Tulishazoea kuitana wote ni watanzania. Ila nasababu tano za kuuliza hivyo.
1. Jina la Mwigulu(ng'wigulu) Nchemba ni la kisukuma Wakati inasemekana yeye ni mnyelamba
2. Pili ilisemekana wazi kuwa aliiba jina la mtu akalihamisha shule akalisomea hivyo alihusika kikamilifu kuiba na kumkatisha masomo kijana huyo mwigulu nchemba
3. Alishawahi kukili kwa mdomo wake kuwa alishawahi kufanya mtihani wa taifa mara mbili. Yani akiwa la sita na baadae la saba. Kwenye kipindi cha hot mix eatv. Hii imeashiria kuna ka ukweli humo.
Jamani wanajamvi naomba msaada wenu ninampango wa kuajiri mwanasheria ili kumpandisha bwana Lameki kortini nimvue vyeti vyake vyote. Kwanza Napoweza Kumpata Mwigulu Nchemba halisi. Shule alikochukulia majina
zawadi ya tsh m 1 itatolewa kwa atakaefanikisha kupatikana kwa ushahidi muhimu wa kufungua kesi ya kugushi
1. Jina la Mwigulu(ng'wigulu) Nchemba ni la kisukuma Wakati inasemekana yeye ni mnyelamba
2. Pili ilisemekana wazi kuwa aliiba jina la mtu akalihamisha shule akalisomea hivyo alihusika kikamilifu kuiba na kumkatisha masomo kijana huyo mwigulu nchemba
3. Alishawahi kukili kwa mdomo wake kuwa alishawahi kufanya mtihani wa taifa mara mbili. Yani akiwa la sita na baadae la saba. Kwenye kipindi cha hot mix eatv. Hii imeashiria kuna ka ukweli humo.
Jamani wanajamvi naomba msaada wenu ninampango wa kuajiri mwanasheria ili kumpandisha bwana Lameki kortini nimvue vyeti vyake vyote. Kwanza Napoweza Kumpata Mwigulu Nchemba halisi. Shule alikochukulia majina
zawadi ya tsh m 1 itatolewa kwa atakaefanikisha kupatikana kwa ushahidi muhimu wa kufungua kesi ya kugushi