Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,272
- 1,128
CCM haimilikiwi na ukoo bali ni chama cha watanzania wa kanda zote, wa dini zote na kabila zote. Ukitumia gharama ya serikali kwrnda kufanyia mapenzi dubai nakulipua bungeni ndio
Ficha upumbavu wako kwa ku-generalise. Nani kakwambia ccm ni chama cha watanzania WOTE? Ni asilimia ngapi walikipigia kura kwenye uchaguzi mkuu? Na population ya watanzania ni ngapi? Unapata wapi mamlaka hayo wewe zuzu? Hivi kweli na wewe unajiita msomi na analysis za kipuuzi kiasi hiki?
Unaposema kutumia fedha za serikali kwenda kufanyia mapenzi! Je, hizo zilizotumika KUMBUKA mwanafunzi zilitokea mfukoni mwako? Zile zakulipua mabomu Arusha ulitoa wewe? Najua siku zote kati ya wanasiasa wapuuzi na wapáumbafu ni wewe. Ila naona kiwango cha ujinga kinaongezeka. Jitathmini kama bado una uhalali wa kuwa hapo ulipo sasa kisiasa, kitaaluma na kifamilia. Mmmfyuuu....