Andindilile
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 289
- 145
Nimelazimika kufuatilia historia sahihi ya ndg Mwigulu au Lameck. Ukweli ni kwamba huyu jamaa ni mtoto wa sita kati ya watoto 16 wa mzee Mlingi maarufu kwa jina la utani Madelu. Mwigulu alizaliwa na kupewa jina la Mugulo likiwa jina la babu yake na jina la lameki lilikuwa jina la kizungu la mganga aitwaye Mwigulu aliyewapa dawa wazazi wake waliopelekwa na rafiki yake ambaye masaganya. Masaganya naye alipewa dawa na mgamnga Mwigulu Lameck na kumwita mwanaye Mwigulu. Jamaa huyu ambae ni mbunge sasa alisoma mpaka darasa la tano akaacha shule akitumia jina la Lameck na kwenda kambi ya mifugo na kurudi shule ktk darasa la sita alilotakiwakwenda akaacha miaka miwili ikapita kwa majina yote mawili yaani Mwigulu Lameck. Mpaka sasa ndio pekee aliyekwenda shule. Najua ndg yangu uko jkt na ulituaga kuwa mnanyanganywa simu, ukirudi elezea wapi nimekosea kwenye utafiti wangu huu
Pombe za ofa bana...!! unaamka kichwa kinauma afu lolote litakalokujia kichwani we unatiririka tu.