Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Sasa sikilizeni JF; naona watu mnazungumza mambo mengi bila mrejesho hapa!! Jamani hatujui kweli kuwa kutumia jina la mtu mwingine ili kutengeneza maisha/future yako ''is indeed illegal?'' Jamani hilo ni kosa la jinai kabisa. If somebody pursues it further, this, the so called Mwigulu wa CCm can be in melting soup. Haiwezekani, the real Mwigulu awe yuko wapi sijui anachunga ng'ombe na huyu jamaa anakula maisha ya kifisadi kwa kutumia jina la mtu mwingine!!! Pamoja na kuwa ni MP lakini amehalifu sheria na haki ya mtu mwingine. In fact this could be a TAKUKURU case as well. Jamani hakuna Wanasheria katika JF wanaoweza kuliweka sawa hilo? Kwa nini anaachwa huyu? Why is this fisadi getting away with this? NO bwana, ameharifu sheria na haki ya mtu mwingine, lazima ashitakiwe. Najua the real Mwigulu may not take it that serious but wapenda haki lazima tuone haki ikitendeka kwa kumfikisha jamaa huyu mbele ya kiti cha hakimu wa sheria za nchi. Haiwezekani. Kuna post iliyopita hivi karibuni imetoa jina halisi, shule aliyosoma, na Mwl mkuu aliyehusika na kubadilisha jina nk This is the right source to nail him down. Kama post ile ina UKWELI, narudia kama kuna ukweli, basi taarifa kamili zinaweza patikana hospital alikozaliwa, kanisani alikopata ubatizo, kipaimara nk, shule yake ya msingi, kisha tutaona jinsi jina lilivyobadirishwa ghafla na kuwa la Kisukuma!! No... do not leave this just like that eh! Sasa naona ni kwa nini ana tabia za ajabu hivi... maana tabia ya mtu hujengeka tangu akiwa mdogo na hukua nayo. Kama ni kweli basi Hafai hata kidogo kuwa Mbunge wa Taifa [National MP] Zingatieni hilo maana siyo dogo hilo.
 
Habari wanaJF,Hizi ni taarifa ambazo bado nazifanyia uchunguzi,japo kidogo nimeona ni vema niwajuze wakuu.Bw.Nchemba ambaye anavuma sana kwa sakata la usukaji wa mipango ya mauaji hapa nchini,taarifa nilizonazo toka maeneo alipomalizia darasa la 7,inasemekana Mhe. huyu hakufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza ila alitumia jina la msukuma mmoja ambaye kulingana na hali ya kimaisha aliacha shule,hivyo Mhe. Nchemba alilazimika kununua jina hilo na kubadili jina lake la mwanzo,NDIYO MAANA ANATUFIKISHA KTK MIJADALA MINGI,NI KWAMBA TANGU ZAMANI HAKUWA NA SIFA YA KUITWA MSOMI.

Sent from HUAWEI Y300.
 
Huyu jamaa yeye ni mnyiramba PURE wa MAKUNDA,hivyo aminini hivyo wakuu taarifa zaidi nitazikamilisha,hata pale nitakapofanikiwa kuvi cheki vyeti vyake vya nyuma LIVE.
 
Hebu tuchunguzie na kale katabia ka kulipua wapinzani kwenye mikutano ya wapinzani na kutembea na wake za watu mkuu!
 
Habari wanaJF,Hizi ni taarifa ambazo bado nazifanyia uchunguzi,japo kidogo nimeona ni vema niwajuze wakuu.Bw.Nchemba ambaye anavuma sana kwa sakata la usukaji wa mipango ya mauaji hapa nchini,taarifa nilizonazo toka maeneo alipomalizia darasa la 7,inasemekana Mhe. huyu hakufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza ila alitumia jina la msukuma mmoja ambaye kulingana na hali ya kimaisha aliacha shule,hivyo Mhe. Nchemba alilazimika kununua jina hilo na kubadili jina lake la mwanzo,NDIYO MAANA ANATUFIKISHA KTK MIJADALA MINGI,NI KWAMBA TANGU ZAMANI HAKUWA NA SIFA YA KUITWA MSOMI.

Sent from HUAWEI Y300.

Kwa KIFUPI ni HIVI ni MDANGANYIFU; Na yuko KILELENI kwenye UONGOZI wa CHAMA TAWALA na ANATOA MAAMUZI NYETI wakati yeye ni MDANGANYIFU wa ELIMU YAKE ili apate kupata MADARAKA na VYEO vya KUGUSHI na ili aendelee na TABIA yake kwa MANTIKI yake ya KIBINAFSI yawe either Mazuri au Mabaya kwa Manufaa yake Mwenyewe

Yeye siko Mkweli hajawa Mkweli kwa Nafsi yake kweli ataweza kuwa MKWELI kwa WATANGANYIKA walala hoi wanaotegemea MAENDELEO???

Kama ni hivyo basi Kwanini SIKU MOJA asije ajitoe CLEAN and CLEAR ni vipi na VIJE alifikaje HAPO alipo KIELIMU hivyo itamuongezea IMANI na UPENDO

Sasa hivi TUNA DUKUDUKU nae kila kitu kwake ni kupitia MILANGO YA NYUMA ili tu kunufaisha MATAKWA yake Hii kwa NCHI ZINGINE wanamuita DICKTETA ALIYEBOBEA anayenda kumwaga DAMU za BINAADAMU kwa MANUFAA yake ya UMIMI

JAMANI TUWE MAKINI NA WANAOGUSHI... NI HERI aliyerudia Mara ishirini kuliko aliyochota JINA la KIJANA HURU BILA SABABU ila NGUVU... na NETWORK...
 
Habari wanaJF,Hizi ni taarifa ambazo bado nazifanyia uchunguzi,japo kidogo nimeona ni vema niwajuze wakuu.Bw.Nchemba ambaye anavuma sana kwa sakata la usukaji wa mipango ya mauaji hapa nchini,taarifa nilizonazo toka maeneo alipomalizia darasa la 7,inasemekana Mhe. huyu hakufanikiwa kujiunga kidato cha kwanza ila alitumia jina la msukuma mmoja ambaye kulingana na hali ya kimaisha aliacha shule,hivyo Mhe. Nchemba alilazimika kununua jina hilo na kubadili jina lake la mwanzo,NDIYO MAANA ANATUFIKISHA KTK MIJADALA MINGI,NI KWAMBA TANGU ZAMANI HAKUWA NA SIFA YA KUITWA MSOMI.

Sent from HUAWEI Y300.

Nikurahisishie, tangu mwaka 1993 kila mtahiniwa hupiga picha yake na kubandika kwenye self form na TSM9. Mtu akinunua jina hawezi kununua na sura ya mtu. Anzia hapo kuchunguza. Najua mmekosa pa kushika, shule haisomewi uvunguni inasomwa na watu wakiona. Nimejulikana tangu darasa la nne vijiji vya jirani wakaujua uwezo wangu kwa kupitia mitihani ya ujirani mwema. Tukuwa darasa la 6 na 7 ndio kabisa wanafunzi wenye ari ya kusoma tokea shule jirani walikuwa wanakuja kwetu kwa discusion. Sijazuka tu nikaonekana bungeni nakujulikana huko kama ninyi mnavyonifahamu baada ya kugusa SACCOS yenu chadema, wenzenu wananijua tangu primary. Sijawahi nunua jina. Kuishi Makunda, kuishi Iramba hakuna masna ya chimbuko la kinyiramba, kuitwa robnson haina masna ya kuwa mwingereza. Yaani akili zenu zimeishia hapo tu. Mbona baba katokea mwantuzi kule Simiyu alipohsmia kisana akiwa kijana hamjaona kama niwachunguzi. Kumbe majina nayo huuzwa.
 
Tuhuma za "Mwigulu" kufoji jina zilishajadiliwa hapa JF kwa kirefu siku za nyuma.
 
Nikurahisishie, tangu mwaka 1993 kila mtahiniwa hupiga picha yake na kubandika kwenye self form na TSM9. Mtu akinunua jina hawezi kununua na sura ya mtu. Anzia hapo kuchunguza. Najua mmekosa pa kushika, shule haisomewi uvunguni inasomwa na watu wakiona. Nimejulikana tangu darasa la nne vijiji vya jirani wakaujua uwezo wangu kwa kupitia mitihani ya ujirani mwema. Tukuwa darasa la 6 na 7 ndio kabisa wanafunzi wenye ari ya kusoma tokea shule jirani walikuwa wanakuja kwetu kwa discusion. Sijazuka tu nikaonekana bungeni nakujulikana huko kama ninyi mnavyonifahamu baada ya kugusa SACCOS yenu chadema, wenzenu wananijua tangu primary. Sijawahi nunua jina. Kuishi Makunda, kuishi Iramba hakuna masna ya chimbuko la kinyiramba, kuitwa robnson haina masna ya kuwa mwingereza. Yaani akili zenu zimeishia hapo tu. Mbona baba katokea mwantuzi kule Simiyu alipohsmia kisana akiwa kijana hamjaona kama niwachunguzi. Kumbe majina nayo huuzwa.

Wewe upo saccos ya CCM? Teeh teeh teeh. Natania tu usije nilipua
 
Tuhuma za "Mwigulu" kufoji jina zilishajadiliwa hapa JF kwa kirefu siku za nyuma.

Ni kutokujua background tu. Watu wanadhani nimeibuka tu, najulikana tangu nikiwa darasa la nne. Hoja hiyo ingekuwa na ukweli mbona watani zangu wangefanya mtaji tangu 2010 wala sio leo. Hawajui asili ya familia yangu, wala hawajui historia yangu.
 
Wewe upo saccos ya CCM? Teeh teeh teeh. Natania tu usije nilipua

CCM haimilikiwi na ukoo bali ni chama cha watanzania wa kanda zote, wa dini zote na kabila zote. Ukitumia gharama ya serikali kwrnda kufanyia mapenzi dubai nakulipua bungeni ndio
 
Nikurahisishie, tangu mwaka 1993 kila mtahiniwa hupiga picha yake na kubandika kwenye self form na TSM9. Mtu akinunua jina hawezi kununua na sura ya mtu. Anzia hapo kuchunguza. Najua mmekosa pa kushika, shule haisomewi uvunguni inasomwa na watu wakiona. Nimejulikana tangu darasa la nne vijiji vya jirani wakaujua uwezo wangu kwa kupitia mitihani ya ujirani mwema. Tukuwa darasa la 6 na 7 ndio kabisa wanafunzi wenye ari ya kusoma tokea shule jirani walikuwa wanakuja kwetu kwa discusion. Sijazuka tu nikaonekana bungeni nakujulikana huko kama ninyi mnavyonifahamu baada ya kugusa SACCOS yenu chadema, wenzenu wananijua tangu primary. Sijawahi nunua jina. Kuishi Makunda, kuishi Iramba hakuna masna ya chimbuko la kinyiramba, kuitwa robnson haina masna ya kuwa mwingereza. Yaani akili zenu zimeishia hapo tu. Mbona baba katokea mwantuzi kule Simiyu alipohsmia kisana akiwa kijana hamjaona kama niwachunguzi. Kumbe majina nayo huuzwa.

Vip kuhusu mauaji? Cdm imetoka wapi hapa?
 
CCM haimilikiwi na ukoo bali ni chama cha watanzania wa kanda zote, wa dini zote na kabila zote. Ukitumia gharama ya serikali kwrnda kufanyia mapenzi dubai nakulipua bungeni ndio

vipi mabomu uliyoulia watanzania kanisani na mkutano wa chadema Arusha bado unayo.?
 
Nimeipenda hii.....Ukitumia gharama ya serikali
kwrnda kufanyia mapenzi dubai
nakulipua bungeni ndio
 
CCM haimilikiwi na ukoo bali ni chama cha watanzania wa kanda zote, wa dini zote na kabila zote. Ukitumia gharama ya serikali kwrnda kufanyia mapenzi dubai nakulipua bungeni ndio

Tungependa kujua kilichotekea kwenye mkutano wa Arusha kwanza kabla hujalipua watu kufanya mapenzi Dubai. Hivi huoni uchungu kumwanga damu za watu? we si ni baba mwenye familia? je hutajisikiaje mtu akiamua kutoa uhai wa mtoto wako kwa ajili ya siasa? kama ulivyofanya wewe Arusha. Pili baada ya haya uliyoyafanya kujulikama hivi unafikiri familia yako hiko salama?
 
Kwani picha kitu gani mwigulu picha inatolewa na imawekwa ya mwigulu tetetete unajua wewe katabia kako ndio kanakualibia kuna wanasiasa wengi tu kutoka ccm ni wazuri sana lakini hawana tabia kama yako Yaani wewe ni hatari kama ukoma da
 
Back
Top Bottom