Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

error
warning.png
 
Lakini hili swala la majina kuwa tofauti ni kosa ambalo serikali ilifanya miaka ya nyuma maana waliruhusu wakuu wa shule kuwapa watu majina kwa wale waliokataa shule hivyo kujikuta mtu akifeli darasa la saba ananunua jina then anarudia la saba mwaka unafuata kwa jina mtu mwingine hivyo kwa mantiki hiyo lazima majina yawe tofauti
 
A'level amesoma Mazengo high school EGM 1998_2000. Alikuwa kipanga ile mbaya Tena usiongelee hesabu alikuwa anajiweza sana huyu jamaa. Ni pure intellectual tukiweka pembeni unafiki. Sema ukiwa siasani madongo utarushiwa tu.
Alikuwa Katibu was serikali ya wanafunzi pale Mazengo.
Kwa suala LA majina na ukabila sijui sana. Jamaa kapiga shule mwenyewe kama no kununua jina labda alirudia primary.
Nashauri tu wanaotaka kumfanyia utafiti wajiulize Mara mbilimbili wanatafuta jina au elimu yake?
Kama alitumia jina LA mwingine akasoma elimu iko kwa nano?
Basi kama atapatikana na hatia viongozi wengi wataachia ngazi. Wengi wamerudia hasa primary.
Kuna mwaziri wamerudia Mara saba.
Tulia NECTA wafanye kazi zao muda ukifika utajitetea mheshimiwa
 
Darassa lakwanza kasoma shule gan na alikua anatumia jina gan?? Hapo ndio patamu sana... Maana unajifanya unamjua mwigulu mzalendo mda wote na bendera ya taifa shingoni ...
 
yeye na ukipanga wake amesaidia nini Taifa au amegundua nini cha kusaidia jamii! vipanga wa kitznania bwana sawa na bure! ndio akina Profesa Lipumba
 
Muhimu weledi wa mtu, hata Esau aliuza haki yake ya ufirst born kwa thamani ya bakuli la dengu lakini performance ya Israel tunaiona hadi leo.Mtu kanunua nafasi akasoma mwenyewe shida iko wapi? Ni sawa tu kama angeenda private school but hazikuwepo wakati huo.
 
Nakumbuka wakati wa Kampeni mpaka mawe yaliandikwa, kwaya zikatungwa, kutapatapa. Aliyeandika hii hata kama katumwa basi asilipwe? Ni kichekesho Heading ilivyo!
 
Awamu hii kweli ina Mambo au sijui ndo ulena wa Dereva, tunakokwenda ni kubaya zaid ya tulikotoka, mda unayoyoma kila kukicha wanaamka na mambo mapya
 
At least mkianza kudiscuss idea zake mniite maana sahii mnamdiscuss yeye...poor mind discuss people you know!!!
 
A'level amesoma Mazengo high school EGM 1998_2000. Alikuwa kipanga ile mbaya Tena usiongelee hesabu alikuwa anajiweza sana huyu jamaa. Ni pure intellectual tukiweka pembeni unafiki. Sema ukiwa siasani madongo utarushiwa tu.
Alikuwa Katibu was serikali ya wanafunzi pale Mazengo.
Kwa suala LA majina na ukabila sijui sana. Jamaa kapiga shule mwenyewe kama no kununua jina labda alirudia primary.
Nashauri tu wanaotaka kumfanyia utafiti wajiulize Mara mbilimbili wanatafuta jina au elimu yake?
Kama alitumia jina LA mwingine akasoma elimu iko kwa nano?
Basi kama atapatikana na hatia viongozi wengi wataachia ngazi. Wengi wamerudia hasa primary.
Kuna mwaziri wamerudia Mara saba.
Ndugu tatizo la Mwigulu ni kwamba, yupo tayari hata kuondoa roho ya binadamu mwenzake ilimradi tu malengo yake yatimie
 
Ila inatakiwa kufahamu kuwa NECTA target yao siyo hiyo. Wao wanataka kujua kama cheti cha mtu mmoja kinatumika sehemu mbili? Ndilo hili tu kwa nijuavyo mimi na ndivyo ilivyo.
 
Kujadili Issue, Tutajadili Wale POLISI WANNE, Waliouwawa Kiajabu ajabu Kisha Wakasingiziwa Ukawa. Kama Mleta Hoja Hutaki hayo Futa Huu Utumbo! Ngoja Nikunywee Kahawa Kidogo Brb!
 
Ila inatakiwa kufahamu kuwa NECTA target yao siyo hiyo. Wao wanataka kujua kama cheti cha mtu mmoja kinatumika sehemu mbili? Ndilo hili tu kwa nijuavyo mimi na ndivyo ilivyo.
Kwa hiyo Nikiwa Na Phd Feki Nikiitumia Ikuru kwa Kiswahili na Isitumike Mahari Pengine sitatumburiwa na Mama Nderichako? heeeee Nitarara nayo mbere!
 
Hilo ndilo Tatizo lake, ni mafia kweli kweli na hafai.
Mmafia Uchwara, Hajawahi Kujaribu Umafia wake Kwa Watu Kama sisi! ambako anakoamkia, tulishalala tukaota, tukaamka na sasa tunalala usingizi wa jicho moja, moja!
 
Back
Top Bottom