Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

U Dj sio uhalifu. Kama alikua Dj na amefika hapo alipo ni mfano wa kuigwa Kwa akina Dj zero, Dj Fetty, nk.
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Posho bado hazitoja?
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Ni kawaida yao kupakazia watu majina mabaya kwa sababu wengi huwa hawawezi kujibu hoja kwa hoja !!
 
Mwanza kulikuwa na DJ Deo Mtagonda, alikuwa boyfriend wake Shyrose Bhanji.

Niko Dar kitambo sana bwashee, Mbowe hajawahi Kuwa DJ

Nawajua madj wa Mbowe hotel tokea akina Kalikali, Patalanks, J bure, Saydou nk

Enzi hizo 1980s nikiendaga Unyaluni pale Soweto club Uwanja wa Saba Saba Dj wetu alikuwa Felician na pale Railway hotel alikuwepo Abdul Msomali na baadae Kusaga

Freeman siyo DJ
 
Haha.

Mimi pia nishakuwa journalist mziki nimepiga na pia nilikua nchi moja ya kiafrika nafanya the same thing.

Kuwa DJ sio dhambi.

Mbowe should be proud.
 
Mkuu kuwa DJ haimaanishi huwezi kuwa mwanasiasa mkubwa kama Mbowe,kila mtu akisema historia yake hasa hao walio kwenye nafasi za juu kisiasa unaweza kushangaa. kazi ni kazi tu
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Tujaribu kuwa na mawazo mapana.Kwan ukiwa DJ hauwezi tena kuwa kiongozi wa nchi?Rais wa marekan ,Ronald Reagen alikuwa mcheza sinema maarufu.Lakin alikuja kuwa Rais wa Taifa kubwa la marekani.Kwa hiyokuwa DJ au kuwa. mwanamziki hakuzui uwe kiongoz ni mawazo mgando.
 
Niko Dar kitambo sana bwashee, Mbowe hajawahi Kuwa DJ

Nawajua madj wa Mbowe hotel tokea akina Kalikali, Patalanks, J bure, Saydou nk

Enzi hizo 1980s nikiendaga Unyaluni pale Soweto club Uwanja wa Saba Saba Dj wetu alikuwa Felician na pale Railway hotel alikuwepo Abdul Msomali na baadae Kusaga

Freeman siyo DJ
Kumbukumbu Safiiii sana..
 
Vitu vyake vya pale billicanas club vilipigwa mnada kwa Bei ndogo Sana asee!!Nilikuwa nashuhudia watu wanavyojibebea kwa Bei ya kutupa pale TPA jengo la NHC vilipohifadhiwa. Enzi ya anko Magu Kuna watu wamepata hasara Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Hata angekuwa DJ miaka na mikaka kama ni kiongozi bora ataendelea kuwa kiongozi bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom