Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Historia ya Freeman Aikael Mbowe (hadi mwaka 2015)

Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Aliwahi kununua master TDK CassetteTape 90min kupitia mgongo wangu niliyotokanayo nayo UK.

Muulize tape kuhusu tape ya Holiday ya Madona 1983.
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Aliwahi kununua master TDK CassetteTape 90min kupitia mgongo wangu niliyotokanayo nayo UK.

Muulize tape kuhusu tape ya Holiday ya Madona 1983.
 
Wakati huu ambao Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe amebeba jukumu la kuhakikisha Watanzania wanapata Katiba Mpya kwa kushirikiana na Rais wa JMT mh Samia Pamoja na Chama tawala CCM napenda ieleweke Mbowe hajawahi kuwa DJ kama inavyovumishwa na Mataga wengi

Ni hilo tu kwa wale wa Kizazi cha Leo

Heri ya Mwaka Mpya!
Tutafute mabraza waliokua wanamuona dogo pale mbowe anasimamia issue za baba yake!!!Nasikia siku moja moja alikua anacheza na santuri!!!Tuwatafute mabraza kama Dj Young milionea atuambie!!!!Nina wasiwasi hata wewe mleta uzi ulikua huijui dar miaka ya 85,s kuja mpaka 92,s!!
 
Tutafute mabraza waliokua wanamuona dogo pale mbowe anasimamia issue za baba yake!!!Nasikia siku moja moja alikua anacheza na santuri!!!Tuwatafute mabraza kama Dj Young milionea atuambie!!!!Nina wasiwasi hata wewe mleta uzi ulikua huijui dar miaka ya 85,s kuja mpaka 92,s!!
Niko Dar kitambo sana bwashee, Mbowe hajawahi Kuwa DJ

Nawajua madj wa Mbowe hotel tokea akina Kalikali, Patalanks, J bure, Saydou nk

Enzi hizo 1980s nikiendaga Unyaluni pale Soweto club Uwanja wa Saba Saba Dj wetu alikuwa Felician na pale Railway hotel alikuwepo Abdul Msomali na baadae Kusaga

Freeman siyo DJ
 
Niko Dar kitambo sana bwashee, Mbowe hajawahi Kuwa DJ

Nawajua madj wa Mbowe hotel tokea akina Kalikali, Patalanks, J bure, Saydou nk

Enzi hizo 1980s nikiendaga Unyaluni pale Soweto club Uwanja wa Saba Saba Dj wetu alikuwa Felician na pale Railway hotel alikuwepo Abdul Msomali na baadae Kusaga

Freeman siyo DJ
Nasikia siku moja moja alikua anapiga na mabraza walikua wanamuona wa kishua tu enzi hizo kaacha kazi benki kuu!!!Ebu tumtafute Braza Saydou atusaidie maana yeye mkongwe since 75,s hapa town!!
 
Nasikia siku moja moja alikua anapiga na mabraza walikua wanamuona wa kishua tu enzi hizo kaacha kazi benki kuu!!!Ebu tumtafute Braza Saydou atusaidie maana yeye mkongwe since 75,s hapa town!!
Mtaani Freeman alikuwa level ya akina Madaraka na Makongoro isimchukulie poa bwashee

Freeman angekuwa ni mtu wa " misifa" kwa sasa angekuwa Kiongozi mkubwa tu CCM

Hapa JF tunamtania na kumdhihaki kwa sababu Ndio Siasa lakini kwa tunaomjua Jamaa yuko vizuri sana " akilini"
 
Mtaani Freeman alikuwa level ya akina Madaraka na Makongoro isimchukulie poa bwashee

Freeman angekuwa ni mtu wa " misifa" kwa sasa angekuwa Kiongozi mkubwa tu CCM

Hapa JF tunamtania na kumdhihaki kwa sababu Ndio Siasa lakini kwa tunaomjua Jamaa yuko vizuri sana " akilini"
Bro uzi unasema alikua dj au hakua DJ?????Sasa tuulize mabraza akina Kalikali au Young milionea ila mimi nadhani jibu kamili analo braza Dj Saydou katika hili!!!Lakini mimi najua siku moja moja Freeman alikua anapiga muziki!!!Au mleta uzi unapenda ligi za kisiasa????
 
Mtaani Freeman alikuwa level ya akina Madaraka na Makongoro isimchukulie poa bwashee

Freeman angekuwa ni mtu wa " misifa" kwa sasa angekuwa Kiongozi mkubwa tu CCM

Hapa JF tunamtania na kumdhihaki kwa sababu Ndio Siasa lakini kwa tunaomjua Jamaa yuko vizuri sana " akilini"
Shida ni elimu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom