Unataka kujuwa siri ya mafanikio? tega sikio.
kwanza hip hop imealibiwa sana na usela mavi na hata wewe ni shahidi show za hiphop nyingi watu wanataka kujionesha wao ndio wamedata.
wanawake kiasili hasa wabongo hawapendi vitu vigumu wao wanapenda vitu vyepesi na vya kipuuzipuuzi.
ona shigongo alivyotajirika wateja wake ni wanawake,ona bongo movie wateja ni wanawake, hawa wanawake zetu wasuguwa visigino hata uje na movie ya Hollywood yenye Oscar award wala hana time nayo.
kuna mapinduzi makubwa yanahitajika kwenye hiphop na si kung'ang'ania tu hard call, harakati bila akili ni ujinga mtupu.
mkombozi wa hiphop bongo sasa hivi nikufanya collabo na wasanii wa radha tofauti mfano angalia collabo ya psquire na fally ipupa.