Hilo la leo limeniuma sana

Hilo la leo limeniuma sana

Pole mkuu kama nitazidi kukufanya ujihisi vibaya zaidi ya sasa, ila fanya jambo kuhusu uandishi wako tafadhali,

tunategemea walimu ndiyo wawe mstari wa mbele kuhimiza uandishi ulio bora kuliko kada nyingine.
 
Matukio ya kutekana yamekithiri sana labda alikuwa ana hofu unaweza kumbeba mkuu wake
 
Vijana jiitahidini kuwa na plan B badala ya kuendelea kujidhalilisha. Nchi bado ina fursa nyingi sana za kiuchumi na zinazohitaji mtaji kidogo tu.

Naongea hivi through experience. Mkiamua, inawezekana kabisa.
 
Leo majira ya asubuhi nilipeleka maombi ya kazi katika moja ya shule hapa mjini.
Lakini experience nimeyokutana nayo Leo it's was too bad.
Picha inaanza Nimefika getini, nikamsalimia mlinzi jinsia yake me anaonekana kama ana miaka 44+ . Nikamwambia naomba unielekeze ofisi ya mkuu wa shule.
Mlinzi yule akanambia boss anaongea na simu, kwa hiyo nipe CV zako akimaliza tampa. Nikamuomba kuwa nipo Tayari kumsubilia mkuu hadi atakao maliza kuongea na simu jamaa akagoma.
Ndipo nikamsihi sana yule mlinzi kuwa anape hata dakika tano tu, lakini jamaa yule alikataa.
Nikamuomba kaka Tafadhali naomba basi bahasha hii nimpelekee sekretari wa mkuu wa shule jamaa akagoma.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
Hapo tu interview umeshindwa. Kwahiyo hata ukifiwa unakuwa excited 😊 🤗 🤪 😃 😄 😛!!!
 
I was so disappointing.
Anyway pole hii inatokea sana hasa ukiwa kwenye harakati za utafutaji.
 
Msomi msomi msomi. Inakuaje unampa barua yako mlinzi, kwani mapokezi hupajui ?. mlinzi kazi yake ni kulinda mlinzi wa darasa la Saba na kusomea cv wapi na wapi?, ww ulisikia wap ?.
 
Leo majira ya asubuhi nilipeleka maombi ya kazi katika moja ya shule hapa mjini.
Lakini experience nimeyokutana nayo Leo it's was too bad.
Picha inaanza Nimefika getini, nikamsalimia mlinzi jinsia yake me anaonekana kama ana miaka 44+ . Nikamwambia naomba unielekeze ofisi ya mkuu wa shule.
Mlinzi yule akanambia boss anaongea na simu, kwa hiyo nipe CV zako akimaliza tampa. Nikamuomba kuwa nipo Tayari kumsubilia mkuu hadi atakao maliza kuongea na simu jamaa akagoma.
Ndipo nikamsihi sana yule mlinzi kuwa anape hata dakika tano tu, lakini jamaa yule alikataa.
Nikamuomba kaka Tafadhali naomba basi bahasha hii nimpelekee sekretari wa mkuu wa shule jamaa akagoma.
Nikaona sina jinsi, nikachukua bahasha nikampa mlinzi, jambo la ajabu jamaa akafungua bahasha akaanza kusoma application letter na CV zangu, aisse I was to excited kiasi kwamba machozi yalinilenga.
Nikaona maybe labda sio neema yangu kufanya Kazi kwenye tasisi hiyo.
I was to excited,nikingereza cha wapi ndugu mwalimu?Bora ata mlinzi hakufikisha iyo cv maana tayari ungekosa iyo kazi.
 
Ni ticha biology huyu acheni kumshangaa english chenga, haya me nakutest wewe ni wa kingdom gani??

Ukijibu Plantae /Fungi andaa viboko huko tukucharaze utatuharibia watoto.
 
Back
Top Bottom