hili ni tukio la kweli

hivi namba zao za simu zinafanana pia? lzma utakuwa unatumia simu kuwasiliana.
unataka kusema mda wote wanafuatana? mhhhhhhhhh hapa unatuambiaje?
 
nawe shangaa Prof, minawaambia watu wanakuja na tamthilia tu humu
 
yaani ina maana huwa mnakutana juu kwa juu.. hata kwao hupajui, hujui wako wangapi kwenye familia etc.. inakuwaje unashindwa kugundua kama huyo uliyenae ana ndugu mwingine ambae ni pacha? au nyie mkikutana ku-do maswali ya msingi hamuulizani. Hata kama hamna future lakini nadhani wapenzi huwa wanaambiana historia zao kidogo katika kufahamiana..
 
acha uongo mtu mzima. Ufanye mapenzi na watu wawili tofauti usigundue???

Ni kweli Prof, huyu jamaa anataka kufanya watu wajinga. Ina maana hao watu hata jinsi wanavyosex wanafafana. Inaonyesha hukuwa makini na hao mademu ni vicheche. Swali la msingi umeshawaambia kuwa walichokufanyia si fair?


This is a joke. Ina maana hata simu wanatumia moja ? Au unawasiliana nao vp ?

Ni kweli hata voucher ulikuwa unatumaje? Sauti zao zinafanana mpaka ushindwe kuwatofautisha kabisa. Lengo lako lilikuwa ni kuchapa ilale au kuoa?
Thread nyingine bwana, unaweza kujikuta unakosana na mtu hivi kwa kukuona unajitia unajua kwa kumtolea uvivu mtu.
 
Umegunduaje? Hivi kweli unaweza changanya mambo kiasi hicho? I dont think so. Nakushauri uachane nao wote uanze maisha afresh. watakutoa roho hao.

Imagine wajue?IInawezekana hawajui pia kwamba wewe umelala nao wote.

Mh! pole sana. Mshirikishe Mungu kwa hili.
 
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

Kama hawajajua endelea tu, nao ndio starehe yao hiyo.
 
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

siamini kama inaweza ikatokea,ina mana moja akikufuata anakuja kumwelezea mwenzake story zilipoishia?ila kama ni kweli heri uwaache wote mana wanakuchezea trick chafu sana.
 
wapo mapacha wenye tabia hizo,hufanana mpaka sauti.ila kama hawataki kuwa na relationship ya kudumu.only one night stand.ila kwa upande wako,nahisi kama kuna kitu umeongeza?kweli ujue kuwa unatembea na wote,bado unaona sawa tu?haikujii kama aibu fulani?uwafunue wote?
 
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

...dirty.. filthy.. shame...kinhead
 
Temana nao hao ni kawaida ya mapacha hata mimi nimeshuudia kwa msela wangu but yeye alivyogundua aliendelea kuwakilisha na mwisho wake ulikua mbaya sana.
 
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

Acha kutuletea filam hapa hata sisi tunaijua!!!!
 
hata wakati wa kudo hukuweza gundua tofauti?
nafikiri wewe ulikuwa unajua ukaamua kulala nao wote bila wao kujua


 
Back
Top Bottom