hili ni tukio la kweli

mareche

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
471
95
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

Mareche
Pls feel free to correct me if Im wrong, what you are telling us is through no fault of your own you ve been sleeping with two identical girls unknowingly! Na wao they know and are the ones responsible for this trickery? May I know where are your twins from.?Maana, du I am having difficulty swallowing this.................!
 
Achana nao wote!
Hao ni zaidi ya vicheche!
Mh! Ya kweli haya? Isijekuwa umeangalia filamu za Kanumba afu ndo unatusimlia.
 
nemo nahisi wao wanajua wanachokifanya kwani huenda wana ambiana mambo yote ndo maana me binafsi ilinichikua muda sana kujua kumbe naa du namapacha
 
Achana nao wote!
Hao ni zaidi ya vicheche!
Mh! Ya kweli haya? Isijekuwa umeangalia filamu za Kanumba afu ndo unatusimlia.

no best ni kitu cha kweli kma unatak kujua mahali walipo nitakujulisha
 
achana nao wote kwani hautengenezi penzi la dhati hapo sana unapoteza muda wa kumpata mpenzi wa kweli na hao hawana penzi la kweli kwako kwani wasingeweza kutembea na wewe wote hao ni wapitaji 2:mod:
 
nemo nahisi wao wanajua wanachokifanya kwani huenda wana ambiana mambo yote ndo maana me binafsi ilinichikua muda sana kujua kumbe naa du namapacha


Mhm jamani "Wonders shall never cease!"...........................Basi kama ni hivyo wakalishe na kuwaeleza kwamba umegundua mchezo wao huo mchafu, na hukupendezwa nao!(assuming that's how you feel ofcourse).
 
wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha

This is a joke. Ina maana hata simu wanatumia moja ? Au unawasiliana nao vp ?
 
Hiyo inaitwa "buy one get one free". Zali hilo mkuu wee chinja tu, ushauri wa nini? Benki haikatai hela kaka.
 
This is a joke. Ina maana hata simu wanatumia moja ? Au unawasiliana nao vp ?

sio joke nda maana nasema wanaambiana maana akija unakuta anatumia namba hiyo moja so mpaka kuja kubaini ni jamaa yangu ndo kanitonya kuwa unashezewa weye
 
ata we waonekana unataka kuendelea nao wote, ungekuwa una wazo tofauti na hlo ungeshachukua hatua.
 
Back
Top Bottom