wapendwa wana jf napenda niwe mkweli kuna mabint wawili ambao wamenichanganya sana kwa sasa mabint hao ni mapacha mwazo nilikuwa sijui kama ni mapacha kwani wamefanana sana ilikuwa tunatabia ya kukutana kila weekand kisha tuna du kumbe ktk kipindi chote hicho nilikuwa na du na watu 2 tofauti sasa nipo njia panda nifanyaje je niendelee na wote kwani mpaka sasa hawajajua kama nimeshastukia janja yao nawakilisha