kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,528
- 12,622
Kuna mdau juzi kati alifanya written interview utumishi kada ya Tax management officer ii mwajiri akiwa TRA, kwa maelezo yake anasema aliscore 45.5 kwenye huo mtihani, sasa anasema kuna mtu kamjulisha kuwa kuna habari inaendelea huko utumishi kuwa kuna uwezekano wa watu walioscore kuanzia 49 mpaka 45 kuitwa kufanya oral interview sababu ni kwamba kuna idadi ya watu ambayo haijatimia na walioitwa awali kwenye oral ni wachache sana.
Binafsi nijuavyo utumishi hawana huo utaratibu na sijawahi kuusikia ila jamaa kakomaa na hizo habari.
So naomba kuuliza ,lina ukweli hilo suala au ndugu yangu anajifariji bure tu?
Binafsi nijuavyo utumishi hawana huo utaratibu na sijawahi kuusikia ila jamaa kakomaa na hizo habari.
So naomba kuuliza ,lina ukweli hilo suala au ndugu yangu anajifariji bure tu?