Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

kevin strootman

JF-Expert Member
Nov 26, 2017
1,077
1,728
Mlinzi wa msafara amtwanga bonge ya ngumi raia mwema aliyekuwa akijumuika barabarani kwenye maombolezo ya msiba wa Lowassa

Sio kwa ngumi hii aisee halafu huyu aliyepigwa inaonekana kama amekata Moto kabisa.

 
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
 
Kwahiyo huyo mlinzi alikuwa anahofia huyo jamaa anaweza kumdhuru kwa kumjeruhi au hata kumuua maiti! Hayo majamaa yanakuaga majinga sana hata jana pale Karimjee nilimuona askari mmoja na bunduki tena akitembea kwa madaha akilinda gari iliyobeba maiti wakati ikiondoka.
Mlinzi anatembea na hasira kichwani ,unafikiria kuzungushwa juani hapo unakimbia wanapenda.

Palikuwa hamna haja ya kumshambulia mtu, Ukweli jamaa alionyesha upendo kutaka kushika hata gari iliyobeba mwili wa mpendwa wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom