bullbar
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 398
- 681
Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma.
Kiuhalisia wote wanaujua uwezo wa TAL akiwa mahakamani akifanya cross examination. Jiandaeni kucheka
Kiuhalisia wote wanaujua uwezo wa TAL akiwa mahakamani akifanya cross examination. Jiandaeni kucheka