Hili la DCI, CDF na IGP aibu utaona wewe..🤣🤣

Hili la DCI, CDF na IGP aibu utaona wewe..🤣🤣

bullbar

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2014
Posts
398
Reaction score
681
Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma.
Kiuhalisia wote wanaujua uwezo wa TAL akiwa mahakamani akifanya cross examination. Jiandaeni kucheka
 

Attachments

  • downloadfile(91).jpg
    downloadfile(91).jpg
    19.3 KB · Views: 1
Back
Top Bottom