Ikumbukwe hao wote ni makada na watu wa kupokea maagizo tuu na maelekezo. Wengi wao wamepachikwa kwa utashi na shukrani kutoka namba moja pale kwenye wingi wa gogo, na watu ambao kumbukumbu zimeshaanza kuwaacha, sasa msije shangaa mtu anatoa siri za aliye mtuma.
Kiuhalisia wote wanaujua uwezo...
Hiki kizazi kimeanza kuzikana kwenye hii misiba yao aibu unataona wewe.
Hii hotuba ya kaka wa Marehemu inatafakarisha sana.
Nikwamba Gen-Z na Millennial hawanamiiko ya kutoongelea dhambi za aliyetangulia, hapo wanataja uzinzi wa Marehemu hadharani bila ya staha🙌🏾
Naanza kuamini maneno ya hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.