Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
CCM sasa hivi imekuja na strategies mpya, kwa strategies zilizotumika kuchukua majimbo ya kinondoni na siha na kwa Arusha Si ndio zitakuwa applicable vizuri.
Nina wasiwasi Lema 2020....duh!!
But CCM tunaomba mtuletee mtu muungwana, kwasababu inaonekana mtachukua hili jimbo.
CCM sasa hivi imekuja na strategies mpya, kwa strategies zilizotumika kuchukua majimbo ya kinondoni na siha na kwa Arusha Si ndio zitakuwa applicable vizuri.
Nina wasiwasi Lema 2020....duh!!
But CCM tunaomba mtuletee mtu muungwana, kwasababu inaonekana mtachukua hili jimbo.