Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,849
- 57,526
Kuweni na Imani na Wazee ๐คUmekuwa mzee wa hovyo๐๐๐
Kuweni na Imani na Wazee ๐คUmekuwa mzee wa hovyo๐๐๐
Udugu nimechoka toka juzi niko kusamaraizi mtaniua ๐๐๐๐nisamaraizie.
Umeona nini?? Leo nimechoka kusamaraizi wifi ๐๐๐๐Imebidi nirudi kusoma ๐๐๐
Msaidieni dada mwenzenu anzisheni chama chenu cha wanawake na maendeleo๐๐๐๐๐ mshamba_hachekwi umemsikia babu?? Uache kumsema da mau kimevunda
Ngoja nianze kuyahesabu, kesho nitaleta majibu ๐Kwani mabwawa yako mangapi? ๐๐๐
Tumechoka kweliAna hoja asikilizweโฆ!!
Sema kaileta muda mbaya watu wamechoka.!! ๐๐๐๐
YesNa inatesa watu wengi bila kujua, wengi wanasingizia kurogwa ,kumbe wamejiroga wenyewe na wanaendelea kujiroga
Yeye hataki maendeleo, anataka mume wa kumpenda na kuacha kumrogaMsaidieni dada mwenzenu anzisheni chama chenu cha wanawake na maendeleo
Ila babu ๐๐๐Ngoja nianze kuyahesabu, kesho nitaleta majibu ๐
Ila halipungui moja ๐๐๐
Tuko hoi ๐๐๐Tumechoka kweli
Maana kusoma zile comment kule page 106+ sio kitoto๐คฃ๐คฃ
Nacheka๐คฃ๐คฃ๐คฃTuko hoi ๐๐๐
Couple pendwa ya jf ile lazima jiji la jf litetemeke
Sasa si muende pm.!! ๐๐๐Tutafunga comments tuwe tunacomment wawili tu hatutaki nzi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Umemaliza story yako kule jukwaa pendwa? ๐คญSwadakta
Tukienda pm mods wanafaidi peke yaoSasa si muende pm.!! ๐๐๐
Wapambe lazima tuwepo wa kuchachua shughuli wee vipi?? Au unaogopa kupinduliwa??
Story ipi hiyo madameUmemaliza story yako kule jukwaa pendwa? ๐คญ
Ndio muache tutoe maoni, uone mishangazi ya shem itakavyotutupia mawe siku hiyo ๐๐๐๐Tukienda pm mods wanafaidi peke yao
Bora tuyamwage humu waja wasikose la kusema
Ile ya Kenya au sio wewe jamani....kule kwa Riki boyStory ipi hiyo madame