Hiki ni kipawa

Hiki ni kipawa

mshana jr najuwa hili ni fumbo umetuwekea ili tulijadili, ila sasa sie wengine si wachawi. Naomba tu nikuulize, hao wanyama ni binadam wa kimazingira au? Yaani kwa sie tusio wachawi tunaona wanyama na ndege ila kwenu nyie wataalm mnaona ukweli halisi, yaani misukule ikiota jua. Je, ni kweli au?
Kwenye ulimwengu wa roho si kila binadamu ni binadamu na si kila mnyama ni mnyama anayeonekana kwa macho... Kuna viumbe wa kila aina wanaovaa maumbo mbalimbali kulingana na mahitaji yao ama ya wanaowamiliki
 
Kwenye ulimwengu wa roho si kila binadamu ni binadamu na si kila mnyama ni mnyama anayeonekana kwa macho... Kuna viumbe wa kila aina wanaovaa maumbo mbalimbali kulingana na mahitaji yao ama ya wanaowamiliki


Kwa kweli inasikitisha, dunia hii?
 
Ndio maana unaambiwa wanyama wote ni ndugu, uadui sijui ulianzaje …
Kuna wimbo unasema..... Na wanyama wataangamia kwa dhambi zako eeh mwanadamu... Way back 1985 .....
 
Nilitaka kusema hivyo, sema sikuwa na uhakika, daaah we jamaa kweli longi sana
umri ushasonga ndugu yangu.... Lakini ni kuanzia usoni tu mpaka kitovuni baasi.... Huku kwenda chini ni new brand kabisa
 
Back
Top Bottom