Hiki ni kipawa

Hiki ni kipawa

Ndio unaweza kabisa Sifa kubwa ikiwa ni upole kujali kutojikweza kutokasirika wala kulipa visasi
Ahsante sana mkuu bnana Mshana jr nitajifunza kutoka kwake toka sasa nimependa mno mfumo wa maisha yake ni zaidi ya mfalme
 
Duh! Huyu ngekewa namm nimemkubali. Ngoja nianze harakat za kumsaka
 
Tunaendelea wakuu..wakat wale maaskar wa yule mfalme wanchi nyingine wanamuingiza gerezan yule mfalme,,mguu wake ukawa unavuja maji kutokana nakile kidonda ambacho kililala kina kua kinatoa kama majimaji yaliyochanganyika nadam yakawa yanaacha alama kwenye sakafu.ghafla wale walinz wakastuka wakasema mbona anajeraha? Wakarudi haraka kwamfalme waka mwambia,anajeraha huyu mfalme na miongon ya mashart yetu hatumchinji mtu mwenye jeraha.mfalme akawaambia,,mmemtoa wapi huyu mtu mwenye jeraa?mtoen hapa mbele yang namikosi yake mrudishen mliko mtoa.bas wale walinz wakamrudisha.mpaka mpakan wakampa nafaras wake.mfalme akaenda mpaka kwenye ufalme wake akawaamrisha wale walinz wamtoe yule mlinz.akamuuliza uliniambia imekua gheri mm kuumia kwel leo nimeamin najee ww uliponiambia imekua gher ww kuingia gerezan ulimaanisha nn?yule mlinzi akamwambia usingeniweka gerezan leo tungesafir wote kama ulivozoea namm sikua na jeraha hivo tungevuka mpaka mm ningebaki ningechinjwa kwasababu sina jeraha.mfalme akapata funzo kubwa sana nass pia tupate funzo kwamba kila likupatalo au ulionalo bas imekua nigher wala usijiskie vibaya..kila jambo likitokea imekua gheri
Gheri ni nini mkuu
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Back
Top Bottom