Naombeni kujuzwa kwa kirefu kuhusu huyu mnyama.Mshana huyo si ndiye Ngekewa?
Anapatikana wapi?
Tabia zake
Je Anakiwa?
Sifa anazopewa ni kweli?
Na mshana umesema hata Simba haoni ndani kwake,umemaanisha nini?
Naomba kujua
Naombeni kujuzwa kwa kirefu kuhusu huyu mnyama.Mshana huyo si ndiye Ngekewa?
Hapo nilimaanisha analiwa?Naombeni kujuzwa kwa kirefu kuhusu huyu mnyama.
Anapatikana wapi?
Tabia zake
Je Anakiwa?
Sifa anazopewa ni kweli?
Na mshana umesema hata Simba haoni ndani kwake,umemaanisha nini?
Naomba kujua
Ndiyo niniMzee simba akibipu hapo anapigiwa na halichachi bando
mkuu naomba ufafanuzi/maelezo/sifa zake tafadhari maana hii ndo mara yangu ya kwanza kumuona/ kuiona picha yakeDuh ila kakaa kama ngangaripoa
duh! Kweli ni KIPAWA yaani kila mnyama ni rafiki yake! Natamani ningekuwa kama yeye yaani na mimi nipendwe na kila mtuNi mnyama anayependwa na wanyama wote
WaitingMshana,,,,tuseme innaa lillah wainnaa ilayhi rrajiun.pia ww unayo bado nafas yaupendeleo yakumuombea dua kwan mtume anasema namtoto mwema anaewaombea wazaz wake.pia kuna kisa kimoja takiandika hapa chin.saiv
Mshana,,kuna msemo unasema imekua gher kwakila kitu ukionacho nakikutokecho nigher.sasa kisa chenyewe kiko hivi.kuna mfalme mmoja alikua akimpenda sna mlinzi wake naalikua akimuaminnakwenda nae kila mahala.siku moja alikwenda nae kuwinda akiwa yy nafaras na mlinz wake pia anaefarasi.walivofika porin wakampiga swala naupinde wakamfukuza mpaka alipochoka akaanguka yule mfalme wakati anateremka kumfata yule swala ili amchinje akachomwa nakitu chenye ncha kali kikaingia mpka ndan yamguu dam zikawa zinamtoka kwawing yule mlinz wake alipoona vile akacheka sana akamwambia mfalme imekua gheri sana ww kuumia huku akifurahi naakizid kucheka mfalme akamwambia unanicheka mm nakuniambia imekua gher mm kuumia!!!!!.takuja kuendelea nakujua nn kilitokea.
Hao ndio majangili lolWasiliana na serikali upate kibali
Waiting🙄🙄Tunaendelea mshana nawanajamii.baada yamlinzi kumwambia yule mfalme kua imekua gheri huku akicheka sana yule mfalme alivomwambia imekua gheri mm kuumia?.akasema yule mlinzi ndio mfalme imekua gheri sana.mfalme akamwambia sawa twende nyumban kwahasira yule mfalme alimuacha nayule mnyama kwan alikua ameumia sana.alipofika kwenye makazi yake yakifalme akawaamrisha walinzi wengine wamkamate yule mlinzi wake.akawaambia huyu leo nimeumia amecheka sana naamefurahi mno mm kuumia naamesema imekua gheri.hivo bas mfungen namumuingize gerezan.haraka wale walinz wakamkamata wakamfunga minyororo wakat wanamuingiza gerezan yule mlinzi akamgeukia yule mfalme akamwambia eee mfalme wang nabwana wang imekua gheri mno ww kuniingiza gereza basi hii nigher kubwa.mfalme akawaambia muingizen gerezan kichaa huyo.baslinz wa mfalme akaingizwa gerezan.kesho yake mfalme akaenda mwenyewe kuwinda bila mlinz yeyote baada yakumuweka yule mlinz wake gereza trip hii hakumteua mlinzi yeyote kwenda nae.naalifanya hiv akiwa na jeraha lake.alipofika porin akamfukuza mnyama mwingine wakat anamfukuza huyu mnyama hakua mbali na mipaka ufalme wake hivo alimfukuza mpaka yule mnyama akavuka zone nyingine ambayo sii ya ufalme wake alipovuka2 mipaka ya ufalme mwingine yule mfalme akakamatwa na walinz wa ile nchi aliyovuka.akabebwa chin yaulinz mkal mpaka kwamfalme waile nchi alievuka kimakosa.alipofikishwa kwayule mfalme walinzi wakatoa maelezo namna walivomkamata.mfalme wa nnchi ile akazema imekua gheri sana kwasababu kesho niile sikukuuu ya uhuru wetu nahuwa kwakawaida tunachinja hivo tutamchinja huyu mliemkamata kesho kwenye sikukuu ya uhuru wetu...nakuja kuendelea nahiki kisa subra tafadhal